Mchezaji wa Timu ya Polisi Zanzibar akiruka juu kuifungia Timu ya ya Polisi wakati wa Mchezo wao wa Open Cup Wilaya ya Mjini mchezo uliofanyika katika viwanja vya maisara.
SERIKALI YAENDELEA KUIMARISHA UONGOZI NA USIMAMIZI WA ELIMU KUPITIA MAFUNZO
KWA VIONGOZI WA SHULE
-
NA EMMANUEL MBATILO, MICUZI TV
SERIKALI kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imeendelea
kuimarisha uongozi na usimamizi wa elimu nchini kwa kutoa...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment