Mradi wa Nyumba za Makaazi za Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar ZSSF.Hatua ya kwanza ya Ujenzi wa Majengo matano ya Ghora yamekamilika na yakiwa katika hatua za mwisho za kukamilisha ujenzi wake kuweza kukabidhiwa kwa Wananchi walioomba kununua Nyumba hizo. Kama zinavyoonekana pichani zikiwa katika mazingira mazuri na ya kupendezesha eneo hiyo ya mbweni Zanzibar.
Majo ya Magorofa ya Mradi wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar ZSSF likiwa limekamilika ujenzi wake kama linavyoonekana pichani.
Fenecha ya moja ya Nyumba hizo ikiwa katika sehemu yamapumziko kama inavyoonekana pichani.
Sehemu ya Jiko la Nyumba hizo.
No comments:
Post a Comment