Habari za Punde

Mradi wa Ujenzi wa Nyumba za Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar ZSSF Mbweni Watembelewa na Waziri wa Fedha na Mipango Zanzibar.Mhe Dkt. Khalid Mohammed Salum. Ukiwa Umekamilika Hatua ya Kwanza Kwa Ujenzi Majengo Matano ya Ghorofa .

Waziri wa Fedha na Mipango Zanzibar, Mhe.Dkt. Khalid Mohammed Salum akitembelea Mradi wa Nyumba za Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar ZSSF, Nyumba hizo zinajengwa katika maeneo ya mbweni Zanzibar, Jumla ya magorofa 15 yanatarajiwa kujengwa katika eneo hilo kwa sasa Majengo Matano yako katika hatua za mwisho ya ujenzi wake zinazojengwa na Kampuni ya Ujenzi ya Dezo kutoka Tanzania.Na mengi matano yako katika hatua ya umaliziaji wake kukamilika kwa ujenzi wake.  







No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.