Waziri wa Fedha na Mipango Zanzibar, Mhe.Dkt. Khalid Mohammed Salum akitembelea Mradi wa Nyumba za Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar ZSSF, Nyumba hizo zinajengwa katika maeneo ya mbweni Zanzibar, Jumla ya magorofa 15 yanatarajiwa kujengwa katika eneo hilo kwa sasa Majengo Matano yako katika hatua za mwisho ya ujenzi wake zinazojengwa na Kampuni ya Ujenzi ya Dezo kutoka Tanzania.Na mengi matano yako katika hatua ya umaliziaji wake kukamilika kwa ujenzi wake.
TMDA YAENDELEA KUTOA ELIMU KWA UMMA MATUMIZI SAHIHI YA DAWA NDANI YA
SABASABA
-
Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) inashiriki katika Maonesho ya 49 ya
Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam maarufu kama Sabasaba, kwa lengo la
kutoa...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment