Waziri wa Fedha na Mipango Zanzibar, Mhe.Dkt. Khalid Mohammed Salum akitembelea Mradi wa Nyumba za Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar ZSSF, Nyumba hizo zinajengwa katika maeneo ya mbweni Zanzibar, Jumla ya magorofa 15 yanatarajiwa kujengwa katika eneo hilo kwa sasa Majengo Matano yako katika hatua za mwisho ya ujenzi wake zinazojengwa na Kampuni ya Ujenzi ya Dezo kutoka Tanzania.Na mengi matano yako katika hatua ya umaliziaji wake kukamilika kwa ujenzi wake.
Benki ya CRDB yakabidhi madarasa Sekondari ya Kikilo, Shule ya Msingi
Isabe, Kondoa
-
Benki ya CRDB kupitia sera yake ya uwekezaji kwa jamii, Aprili 24 - 25,
2024 ilikabidhi madarasa mawili katika Shule ya Sekondari Kikilo na
madarasa mengi...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment