Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola,
akimsikiliza Inspekta Carlos Hanga(kulia) , wakati alipotembelea Kiwanda cha
Magereza Ukonga,kinachojishughulisha na uchongaji wa thamani za ndani na
ufumaji wa nguo,jijini Dar es Salaam.Waziri Lugola yuko kwenye ziara ya kikazi
baada ya kuteuliwa kuongoza wizara hiyo
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola, akikagua
ubora wa thamani inayotengenezwa katika Kiwanda cha Magereza, kilichopo Gereza
la Ukonga,jijini Dar es Salaam, wakati wa ziara ya kutembelea Jeshi la
Magereza.Kulia ni Kamishna wa Jeshi la
Magereza, Dk.Juma Malewa
Inspekta wa Jeshi la Magereza, Carlos Hanga
akitoa maelezo ya kiufundi kwa Waziri
wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola, ambaye yuko katika ziara ya kikazi
katika Kiwanda cha Gereza kilichopo Ukonga,jijini Dar es Salaam
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola,
akisalimiana na maofisa wa Jeshi la Magereza, baada ya kuwasili kwa ziara ya
kikazi katika Chuo cha Magereza ,kilichopo Ukonga,jijini Dar es Salaam
Waziri wa Mambo ya
Ndani ya Nchi, Kangi Lugola, akipita mbele ya Maofisa wa Jeshi la Magereza, baada
ya kuwasili kwa ziara ya kikazi katika Chuo cha Magereza ,kilichopo
Ukonga,jijini Dar es Salaam.
Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
IMEANDALIWA
NA KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI
No comments:
Post a Comment