Waziri wa Biashara na Viwanda Zanzibar Mhe. Balozi Amina Salum Ali akifungua mafunzo ya Siku moja kuhusiana na Vifungashio vya Bidhaa zao na Kutumia Mitando kufanya biashara hiyo kwa Mataifa Mbalimbali Duniani kama ijulikanayo E-Commerce, Mafunzo hayo yameandaliwa na Kampuni ya kusafirisha vifurushi ya DHL, yaliofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Park Hytta na kuwashirikisha Wajasiriamali kutoka Unguja na Pemba.
SIX DECADES STRONG, CELEBRATING THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA'S PROUD
UNION ANNIVERSARY
-
*60 years of the United Republic of Tanzania, We are united and
Strengthened for the Development of Our Nation.*
1. Introduction.
The United Republic ...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment