Waziri wa Biashara na Viwanda Zanzibar Mhe. Balozi Amina Salum Ali akifungua mafunzo ya Siku moja kuhusiana na Vifungashio vya Bidhaa zao na Kutumia Mitando kufanya biashara hiyo kwa Mataifa Mbalimbali Duniani kama ijulikanayo E-Commerce, Mafunzo hayo yameandaliwa na Kampuni ya kusafirisha vifurushi ya DHL, yaliofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Park Hytta na kuwashirikisha Wajasiriamali kutoka Unguja na Pemba.
WATANZANIA WATAKIWA KUACHANA NA DHANA POTOFU KWAMBA NISHATI SAFI YA KUPIKIA
NI GHARAMA
-
Wakala wa Nishati Vijijini (REA) umewasihi Watanzania kote nchini kuachana
na dhana ya kwamba Nishati Safi ya Kupikia ni gharama ikilinganishwa na
matumizi...
26 minutes ago
No comments:
Post a Comment