Habari za Punde

Balozi Seif aendelea na ziara yake Pemba akagua nyumba za makaazi ya Makamu wa Pili wa Rais

 MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Sief Ali Iddi, akipata maelezo ya ramani ya ujenzi ya nyumba ya Makamu wa Pili wa Rais huko Pagali Chake Chake, kutoka kwa Injinia wa Ujenzi Hawa Natepe kutoka wakala wa majengo Zanzibar.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

 MUONEKANO wa Nyumba za makaazi kwa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, huko katika maeneo ya Pagali Chake Chake baada ya kumalizika kwa ujenzi wa nyumba hiyo.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
 MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi, akipata maelezo ya nyumba ya makaazi huko Pagali Chake Chake, kutoka kwa injinia wa Ujenzi Hawa Natepe kutoka wakala wa majengo Zanzibar.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

 MAFUNDI kutoka Kikosi cha KM KM wakiwa katika harakati za ujenzi wa Nyumba ya Makaazi ya Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar, huko katika maeneo ya Pagali Chake Chake Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
 MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi, akipata maelezo juu ya moja ya nyumba za makaazi ya Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar huko Pagali Wilaya ya Chake Chake, kutoka kwa mkurugenzi wa wakala wa majengo Zanzibar Ramadhani Mussa Bakari wakati alipotembelea ujenzi huo.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
 MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi, akizungumza na maafisa wadhamini wa Taasisi mbali mbali Serikali Pemba, huko katika ukumbi wa Tasafa Chake Chake Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
MAAFISA wadhamini kutoka Taasisi mbali mbali za Serikali Kisiwani Pemba, wakimsikiliza kwa makini Makamu wa Pili wa Rais Balozi Seif Ali Iddi, wakati alipokuwa akizungumza nao huko katika Ukumbi wa Tasaf Chake Chake Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.