Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Daniel Chongolo baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam akitoka nchini China, Septemba 9, 2018 alikomwakilisha Rais John Magufuli kwenye Mkutano wa Jukwaa la Ushirikiano kati ya China na Afrika (FOCAC) uliofanyika Beijing hivi karibuni. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
DKT. MPANGO AGUSWA NA JITIHADA ZA NBC KUCHOCHEA MAENDELEO SERIKALI ZA MITAA.
-
[*Arusha, Mei 29, 2023*] Makamu wa Rais Dkt. Phillip Mpango ameipongeza
Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) kwa kuendelea kusaidia mamlaka za serikali
za mi...
7 minutes ago
No comments:
Post a Comment