Habari za Punde

Waziri Asiyekuwa na Wizara Maalum Mhe. Said Soud Atembelea Moja ya Kitalu Cha Miche ya Mikarafuu Kisiwani Pemba.


Waziri asiekuwa na Wizara maalumu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Mhe.Said Soud Said, akizungunza na Ofisa Misitu Wilaya ya Micheweni katika Kitalu cha Mikarafuu kilichopo Wingwi Wilaya ya Micheweni Pemba.


Kitalu cha Mikarafuu cha Serikali kilichopo Wingwi Wilaya ya Micheweni Pemba.

PICHA NA BAKAR MUSSA-PEMBA.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.