Mchezaji wa Timu ya Afya Zanzibar akijiandaa kudaka mpira wakati wa Mchezo wao wa Ligi Kuu ya Netiboli Kanda ya Unguja mchezo uliofanyika Uwanja wa Gymkhana. Timu ya JKU imeshinda mchezo huo kwa mabao 48 - 28.
Rais na Mgombea wa nafasi ya Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan
apiga Kura katika Kituo cha Ofisi ya Kijiji Chamwino mkoani Dodoma
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mgombea wa nafasi ya
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM)
M...
15 hours ago

No comments:
Post a Comment