Mshambuliaji wa Timu ya Mlandege Said Khamis akijaribu kumpita beki wa Timu ya KMKM Richard Jovit wakati wa mchezo wao wa Kombe la FA Robo Fainali uliofanyika katika Uwanja wa Amaan Zanzibar Timu ya KMKM imeshinda mchezo huo kwa penenti 4-2. Na kusonga mbele hatua ya Nusu Fainali ya Kobe la FA.
SACP NGOLE AKAGUA MIFUMO YA KIUSALAMA KATIKA MGODI WA ANGLO - SONGWE.
-
Mkuu wa Kitengo cha Usalama wa Miundombinu Muhimu Kamishna Msaidizi
Mwandamizi wa Polisi (SACP) Richard Ngole kutoka Makao Makuu ya Polisi
Dodoma amekagua ...
8 hours ago
No comments:
Post a Comment