Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Wanunuzi wa zao la Korosho
katika kikao kilichofanyika katika Ukumbi wa Mwalimu Nyerere jijini Dar es
Salaam na kutoa msimamo wa Serikali kuhusu bei ya Korosho kuwa isipungue
shilingi 3000 kwa kilo moja.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Wanunuzi wa zao la Korosho
katika kikao kilichofanyika katika Ukumbi wa Mwalimu Nyerere jijini Dar es
Salaam na kutoa msimamo wa Serikali kuhusu bei ya Korosho kuwa isipungue
shilingi 3000 kwa kilo moja.
Wadau na Wanunuzi wa Korosho wakiwa
wanasikiliza Maelekezo ya Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli wakati alipokutana nao
na kuzungumza nao jijini Dar es Salaam.
PICHA
NA IKULU
No comments:
Post a Comment