Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa akiwa katika ziara yake Mkoa wa Kagera akisalimiana na watoto wa Shule ya Awali na Msingi ya Rweikiza wakati alipotembelea Shule hiyo akiwa katika ziara ya Bukoba Vijijini mkoani Kagera, Oktoba 9, 2018. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Tunduru: Viuatilifu kuongeza uzalishaji wa Korosho Tunduru
-
Tunduru-Ruvuma.
Baadhi ya wakulima wa zao la korosho katika Tarafa ya Nakapanya Wilaya ya
Tunduru Mkoani Ruvuma,wamepongeza mpango wa Serikali wa kutoa b...
15 minutes ago
No comments:
Post a Comment