Wananchi wakiangali gari iliopata ajali katika barabara ya Kariakoo na kuacha njia na kugonga ukuta wa Uwanja wa Kufurahia Watoto Kariakoo Zanzibar, na kubomoa sehemu ya ukuta huo.Na gari hiyo kupata hasara kubwa.
WATUMISHI WA UMMA KIBAHAWatumishi watakiwa kutunza heshima za taasisi zao.
-
Na.Mwashamba Haji Juma
Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria, Bw. Eliakim Maswi, amewataka
watumishi wa umma kuhakikisha wanatunza, kulinda na kukuza...
37 minutes ago
No comments:
Post a Comment