Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein akisalimiana na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mjini Unguja Ndg. Talib Ali Talib alipowasili katika viwanja vya Afisi ya CCM Mkoa wa Mjini Amani Zanzibar , akiwa katika ziara yake katika Wiulaya ya Mjini Unguja na kuzungumza na Wanachama wa CCM.
RAIS SAMIA APONGEZWA KWA KUKWAMUA UJENZI WA KITEGA UCHUMI CHA NSSF MWANZA
-
Na. Mwandishi wetu, Mwanza
Kamati ya kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii imempongeza Rais
Samia Suluhu Hassan kwa kuridhia Mfuko wa Hifadhi ya ...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment