Habari za Punde

Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Zanzibar Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, Azungumza na Wanachama CCM Mkoa wa Mjini Unguja Wakati wa Ziara Yale leo.12-2-2019.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein akisalimiana na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mjini Unguja Ndg. Talib Ali Talib alipowasili katika viwanja vya Afisi ya CCM Mkoa wa Mjini Amani Zanzibar , akiwa katika ziara yake katika Wiulaya ya Mjini Unguja na kuzungumza na Wanachama wa CCM. 












No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.