Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein akisalimiana na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mjini Unguja Ndg. Talib Ali Talib alipowasili katika viwanja vya Afisi ya CCM Mkoa wa Mjini Amani Zanzibar , akiwa katika ziara yake katika Wiulaya ya Mjini Unguja na kuzungumza na Wanachama wa CCM.
Kampuni ya Haier yazindua bidhaa za viyoyozi (AC) jijini Dar es Salaam
-
Kampuni ya mabingwa wa vifaa vya kielektroniki Haier wamefanya mkutano wa
uzinduzi wa bidhaa za viyoyozi (AC) katika ukumbi wa Hyatt regency, the
kilimanja...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment