Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein akisalimiana na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mjini Unguja Ndg. Talib Ali Talib alipowasili katika viwanja vya Afisi ya CCM Mkoa wa Mjini Amani Zanzibar , akiwa katika ziara yake katika Wiulaya ya Mjini Unguja na kuzungumza na Wanachama wa CCM.
TIA YAANZISHA KAMPASI MPYA MKOANI TANGA
-
NA EMMANUEL MBATILO
TAASISI ya Uhasibu Tanzania (TIA) imeanzisha Kampasi mpya ya TIA mkoani
Tanga, ambayo inalenga kuhudumia wanafunzi kutoka kanda ya Kask...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment