Muonekano wa Mradi wa Mnara wa Tangi la Maji Safi na Salama Kilimani Mnara wa Mbao linalojengwa kwa kiwango cha kisasa na Kampuni ya Kichina ya Stecol, lililowekwa jiwe la msingi leo na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akiwa katika ziara yake kutembelea Miradi ya Maendeleo katika Wilaya ya Mjini Unguja leo.
SERIKALI KUJENGA KITUO CHA KUPOZA UMEME NA SWITCHING STATION SONGWE- MHE.
KAPINGA
-
-- Lengo ni kuimarisha upatikanaji umeme mkoani Songwe
--- Uboreshaji wa miundombinu ya umeme unaendelea
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Judith Kapinga amesem...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment