Muonekano wa Mradi wa Mnara wa Tangi la Maji Safi na Salama Kilimani Mnara wa Mbao linalojengwa kwa kiwango cha kisasa na Kampuni ya Kichina ya Stecol, lililowekwa jiwe la msingi leo na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akiwa katika ziara yake kutembelea Miradi ya Maendeleo katika Wilaya ya Mjini Unguja leo.
BOTRA Yafanya Mkutano Mkuu wa Mwaka, Yajadili Maisha ya Wastaafu na
Mustakabali wa Wanachama
-
*Dar es Salaam, Tanzania* – Chama cha Wastaafu wa Benki Kuu ya Tanzania
(BOTRA) kimefanya mkutano wake mkuu wa mwaka ukiwa na lengo la kujadili
maende...
27 minutes ago
No comments:
Post a Comment