Ujenzi wa Barabara mpya kwa kiwango cha lami katika maeneo mbalimbali kisiwani Pemba,Mmoja ya Mradi huo wa barabara ya ikiwa katika makutano ya Mabao ikitokea Ole na kuelekea Kengeja na Uwanja wa Ndege wa Karume Chakechake.Pemba ikiendelea na ujenzi wake kama inavyoonekana picha makutano ya barabara hiyo maeneo ya mzunguko wa mabaoni.
WAZIRI KIKWETE ATEMBELEA BANDA LA BODI YA ITHIBATI YA WAANDISHI WA HABARI
SABASABA
-
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Ajira, Vijana na Wenye Ulemavu,
Mhe. Ridhiwani Kikwete alipotembelea Banda la Bodi ya Ithibati ya Waandish...
32 minutes ago
No comments:
Post a Comment