Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Rais wa Seneti ya Burundi, Mhe. Reverien Ndikuriyo kabla ya mazungumzo yao, ofisini kwa Waziri Mkuu, jijini Dodoma,
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Rais wa Seneti ya Burundi, Mhe. Reverien Ndikuriyo, ofisini kwa Waziri Mkuu, Bungeni jijini Dodoma, Aprili 3, 2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Nishati : Waziri Ndejembi aipa PURA kazi ya kuongeza kasi ya utafutaji wa
mafuta na gesi
-
Waziri wa Nishati Mhe. Deogratius Ndejembi ameitaka Mamlaka ya Udhibiti
Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) kuja na mikakati thabiti itakayosaidia
kuongeza...
2 hours ago

No comments:
Post a Comment