Wananchi Kisiwani Pemba wakiwa katika harakati za hapa na pale katika Mji wa Chakechake Pemba asubuhi hii kwa shughuli mbalimbali za Kimaendeleo katika marikiti Kuu ya Chake asubuhi hii kama inavyoonekana, nikiwa katika mizunguko yangu hii leo na kujionea hali hii,
Washiriki zaidi ya 2000 kushiriki kongamano la mashirika yasiyo ya
kiserikali
-
WASHIRIKI zaidi ya 2000 kutoka ndani na nje ya Tanzania wanatarajiwa
kushiriki kongamano la mwaka la Mashirika Yasiyo ya Kiserikali (NGOs)
linalotara...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment