Habari za Punde

Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari Zanzibar

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Mh. 
Mohamed Aboud Mohamed kesho atafanya Mkutano na 
Waandishi wa Habari kuzungumzia utekelezaji wa Kanuni ya 
upigaji marufuku ya Mifuko ya Plastiki Zanzibar.
Mkutano huo utafanyika kesho Alkhamis tarehe 30/05/2019 
katika Ukumbi wa Baraza la Wawakilishi Chukwani kuanzia 
saa 04:00 za ausubuhi.
Kwa Taarifa hii Waandishi mnaalikwa kuhudhuria Mkutano 
huo muhimu kwa wakati ili kutekeleza majukumu yenu.
Ahsante.
IMETOLEWA NA MAELEZO ZANZIBAR 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.