Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Injinia Isaack Kamwelwe akikata utepe muda mfupi baada ya Ndege ya Air Tanzania Boing 787-8 Drealiner kutua katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Chhatrapati Shivaji, Mumbai nchini India alfajiri ya leo Julai 18, 2019. Ndege hiyo imeanza safari yake ya kwanza ya kutoka nje ya bara la Afrika huku zingine zikitazamiwa siku za mbeleni. Hii ni safari ya sita kwa safari za kimataifa kwa Ndege za Air Tanzania.
SOMALIA KUSHIRIKIANA NA MSD KWENYE MANUNUZI YA BIDHAA ZA AFYA NA
KUBADILISHANA UZOEFU
-
Rais wa Somalia Mheshimiwa Hassan Sheikh Mohamud amesema nchi yake imeamua
kushirikiana kwa karibu na Bohari ya Dawa ya Tanzania katika ununuzi wa
bidhaa z...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment