Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Subira Mgalu akionyesha
kifaa maalum cha kuunganishia umeme kwenye nyumba ambazo hazijawekewa mfumo wa
kusambazia umeme kijulikanacho kama Umeme Tayari (UMETA) wakati wa mkutano wa
hadhara katika kijiji cha Nyange wilayani Kibondo mkoa wa Kigoma hivi karibuni.
Naibu Waziri Mgalu alikuwa katika ziara yake ya kukagua miradi ya usambazaji wa
umeme vijini inayotekelezwa na Serikali kupitia Wakala wa Umeme Vijijini (REA)
ambapo jumla ya vijiji 129 vinasambaziwa umeme mkoani humo.
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Subira Mgalu
akiwasha umeme kwenye moja ya saluni ya mteja aliyeunganishiwa umeme katika
kijiji cha Nyange wilayani Kibondo wakati wa ziara yake ya kukagua maendeleo ya
utekelezaji wa mradi wa kusambaza umeme vijiji vya wilaya za Kibondo, Kasulu na
Buhigwe mkoani Kigoma hivi karibuni.
Naibu Waziri Mgalu alikuwa katika ziara ya siku tatu kukagua miradi ya
usambazaji wa umeme vijini inayotekelezwa na Serikali kupitia Wakala wa Umeme
Vijijini (REA) ambapo jumla ya vijiji 129 vinasambaziwa umeme mkoani humo. Katikati
ni Mkuu wa Wilaya ya Kibondo, Loyce Burra.
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Subira Mgalu
(wapili kulia) akisikiliza maelezo toka kwa Mkuu wa Wilaya ya Kibondo, Loyce
Burra (kushoto) mara baada ya kuwasha umeme katika Zahanati ya Kijiji cha
Nyange na Saluni ya mkazi wa kijiji hicho wakati ziara yake ya kukagua miradi
ya usambazaji wa umeme vijini mkoani Kigoma inayotekelezwa na Serikali kupitia
Wakala wa Umeme Vijijini (REA) ambapojumla ya vijiji 129 vinasambaziwa umeme
mkoani humo.
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Subira Mgalu
wakati wa mkutano wa hadhara katika kikiji cha Ruhita wilayani Kasulu wakati wa
ziara yake ya kikazi kukagua maendeleo ya miradi ya usambazaji wa umeme vijini
inayotekelezwa na Serikali kupitia Wakala wa Umeme Vijijini (REA) ambapo jumla
ya vijiji 129 vinasambaziwa umeme mkoani humo. Ambapo katika wilaya za Kibondo
na Kakonko vijiji 129, Kasulu, Buhigwe, Kigoma Vijijni na Uvinza 60. Kushoto ni
Mkuu wa Wilaya ya Kasulu, Kanali Simon Anange na Meneja wa Tanesco mkoa wa
Kigoma, Masangija Lugata.
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Subira Mgalu akisikiliza
maelezo ya Mkandarasi wa Usambazaji Umeme katika vijiji vya Wilaya za Kasulu,
Buhigwe na Uvinza Kampuni ya CCCE – ETERN wakati wa ziara yake ya kukagua
maendeleo ya utekelezaji wa mradi wa kusambaza umeme katika vijiji vilivyopo
katika Mpango wa Usambazaji Umeme Vijijini Awamu ya Tatu mzunguko wa kwanza
(REA III) mkoani Kigoma hivi karibuni.
Kaimu Mkuu wa Kikosi cha Jeshi la Kujenga Taifa, Mtabira 825 KJ kilichopo wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma, Meja Peter Lyanga akizungumza walipotembelewa na Naibu Waziri wa Nishati Mhe. Subira Mgalu kwa lengo la kujionea maendeleo ya usambazaji umeme katika Kikosi hicho hivi karibuni. Naibu Waziri Mgalu alikuwa katika ziara ya siku tatu kukagua miradi ya usambazaji wa umeme vijini inayotekelezwa na Serikali kupitia Wakala wa Umeme Vijijini (REA) ambapo jumla ya vijiji 129 vinasambaziwa umeme mkoani humo. Kibondo vijiji 40, Kakonko vijiji 29, Buhigwe 21, Kasulu 12 Uvinza 10 na Kigoma vijijini 17
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Subira Mgalu
akizungumza na vijana wa program ya hiari wa Jeshi la Kujenga Taifa
alipotembelea Kambi ya Kikosi cha Jeshi la Kujenga Taifa, Mtabira 825 KJ
kilichopo Kasulu mkoani Kigoma kwa lengo la kujionea maendeleo ya usambazaji umeme
katika Kikosi hicho hivi karibuni. Naibu Waziri Mgalu alikuwa katika ziara ya
siku tatu kukagua miradi ya usambazaji wa umeme vijini inayotekelezwa na
Serikali kupitia Wakala wa Umeme Vijijini (REA) ambapo jumla ya vijiji 129
vinasambaziwa umeme mkoani humo.
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Subira Mgalu
akizungumza na vijana wa program ya hiari wa Jeshi la Kujenga Taifa
alipotembelea Kambi ya Kikosi cha Jeshi la Kujenga Taifa, Mtabira 825 KJ
kilichopo Kasulu mkoani Kigoma kwa lengo la kujionea maendeleo ya usambazaji umeme
katika Kikosi hicho hivi karibuni. Naibu Waziri Mgalu alikuwa katika ziara ya
siku tatu kukagua miradi ya usambazaji wa umeme vijini inayotekelezwa na
Serikali kupitia Wakala wa Umeme Vijijini (REA) ambapo jumla ya vijiji 129
vinasambaziwa umeme mkoani humo.
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Subira Mgalu
akizungumza na vijana wa program ya hiari wa Jeshi la Kujenga Taifa
alipotembelea Kambi ya Kikosi cha Jeshi la Kujenga Taifa, Mtabira 825 KJ
kilichopo Kasulu mkoani Kigoma kwa lengo la kujionea maendeleo ya usambazaji umeme
katika Kikosi hicho hivi karibuni. Naibu Waziri Mgalu alikuwa katika ziara ya
siku tatu kukagua miradi ya usambazaji wa umeme vijini inayotekelezwa na
Serikali kupitia Wakala wa Umeme Vijijini (REA) ambapo jumla ya vijiji 129
vinasambaziwa umeme mkoani humo.
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Subira Mgalu
akizungumza na vijana wa program ya hiari wa Jeshi la Kujenga Taifa
alipotembelea Kambi ya Kikosi cha Jeshi la Kujenga Taifa, Mtabira 825 KJ
kilichopo Kasulu mkoani Kigoma kwa lengo la kujionea maendeleo ya usambazaji umeme
katika Kikosi hicho hivi karibuni. Naibu Waziri Mgalu alikuwa katika ziara ya
siku tatu kukagua miradi ya usambazaji wa umeme vijini inayotekelezwa na
Serikali kupitia Wakala wa Umeme Vijijini (REA) ambapo jumla ya vijiji 129
vinasambaziwa umeme mkoani humo
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Subira Mgalu
akizungumza na vijana wa program ya hiari wa Jeshi la Kujenga Taifa
alipotembelea Kambi ya Kikosi cha Jeshi la Kujenga Taifa, Mtabira 825 KJ
kilichopo Kasulu mkoani Kigoma kwa lengo la kujionea maendeleo ya usambazaji umeme
katika Kikosi hicho hivi karibuni. Naibu Waziri Mgalu alikuwa katika ziara ya
siku tatu kukagua miradi ya usambazaji wa umeme vijini inayotekelezwa na
Serikali kupitia Wakala wa Umeme Vijijini (REA) ambapo jumla ya vijiji 129
vinasambaziwa umeme mkoani humo
Naibu
Waziri wa Nishati, Mhe. Subira Mgalu akiwasha umeme akiwasha umeme katika jengo
la Ofisi ya Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe mkoani Kigoma wakati wa ziara yake
ya kukagua maendeleo ya mardi wa usambazaji umeme vijijini mkoani humo hivi
karibuni. Naibu Waziri Mgalu alikuwa katika ziara ya siku tatu kukagua miradi
ya usambazaji wa umeme vijini inayotekelezwa na Serikali kupitia Wakala wa
Umeme Vijijini (REA) ambapo jumla ya vijiji 129 vinasambaziwa umeme mkoani
humo.
Mbunge wa Jimbo la Manyovu -Buhigwe mkoani
Kigoma, Mhe. Albert Obama akimshukuru Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Subira
Mgalu (katikati) kwa niaba ya Serikali kutokana na hatua za kusambaza umeme
katika vijiji vya wilaya ya Buhigwe wakati wa ziara ya kukagua miradi ya
usambazaji wa umeme vijini inayotekelezwa na Serikali kupitia Wakala wa Umeme
Vijijini (REA) ambapo jumla ya vijiji 129 vinasambaziwa umeme mkoani humo.
Kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Buhigwe, Kanali Michael Ngayauma.
No comments:
Post a Comment