Habari za Punde

MAJALIWA AKUTANA NA KAMISHINA WA UNHCR

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Kamishina Mkuu wa UNHCR, Filippo Grand kabla ya mazungumzo yao kwenye kituo cha maonyesho cha Pacifiko Yokohama nchini Japan, Agosti30, 2019. Mheshimiwa Majaliwa yuko nchini Japan kuhudhuria mkutano wa TICAD 7
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza  na Kamishina Mkuu wa UNHCR, Filippo Grand  kwenye kituo cha maonyesho cha Pacifiko Yokohama nchini Japan, Agosti 30, 2019. Mheshimiwa Majaliwa yuko nchini Japan kuhudhuria mkutano wa TICAD 7. 
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.