Maendeleo ya ujenzi wa Bandari ya Dar es Salaam
yanakwenda vizuri ambapo ujenzi wa magati 2 kati ya 7
yaliyopo umekamilika na kuanza kupokea meli kubwa za mizigo.
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa
Bandari Tanzania (TPA) Mhandisi Deusdedit Kakoko amesema mradi wa ujenzi wa gati hyo utakaogharimu takribani shilingi Trilioni moja utaiwezesha Bandari
ya Dar es Salaam
kuongeza ufanisi kwa kuongeza kasi ya upakuaji na upakiaji wa mizigo na kupokea meli yoyote duniani zikiwemo meli kubwa za kisasa saba (7th Generation).
Mhandisi Kakoko amefafanua kuwa kazi inayoendelea imewezesha kukamilika kwa ujenzi katika gati na mba
1 na gati namba 2 ambazo zimeongezwa kina kutoka mita 8 hadi kufikia kati ya mita 15 na
19, kina ambacho ni kikubwa ikilinganishwa na kina kinachohitajika kwamelikubwazaidiambachonimita
12.
Aidha, MhandisiKakokoamemshukuruMhe.
RaisMagufulikwakutiliamkazoujenziwaBandari ya Dar es Salaam nakuamuakujengagatinyingineyamagariiitwayo
RORO ambayoitaiwezesha bandari hiyokupokeamelihata2kwampigozenyeweuwezowakuchukuamagari
10,000 ikilinganishwanauwezowakuchukuamagari 200 kablayamradihuo.
“Sasamaanayakenini,
magarinikatiyashehenainayoingizatozozaidi,
kwamagaripekeeyaketunawezakukusanyatozomara 2 au mara3ikilinganishwanakipindi
cha nyuma, ndiomaanatunamshukuruMhe. RaisMagufulikwakutuongezeahiyogatiya RORO.
Kwa hiyofaidaya kwanza
tunaipatakatikakuongeza kina kwamaanamelikubwazitaingiakwamaramoja,
nakunawatuwamekuwawakionakuna Kijiji cha melizinazosubirikuingia bandari
kushushamizigo, hiyohaiwezikuwepotena”amesemaMhandisiKakoko.
MhandisiKakokoamesemajuhudihizozinakwendasambambanauboreshajieneo
la nyaraka (clearing)
kupitiaserikalimtandaoilikuondoamianyayaudanganyifuambaohusababishaupotevuwamapato.
“Sasatutawezakupatamojakwamoja Bill of
Lading nahivyokuondokananabaadhiyawafanyabiashara au waagizajimizigoambaohudaimakontenayana
mitumba wakatindanimnamagari”amesemaMhandisiKakokonakubainishakuwauwekajiwamfumowanyarakaunakwendasambambanauwekajiwamitamboyaukaguzi(scanner).
Amesemabaadayakukamilikakwagatinamba 1
nagatinamba 2, ujenzikwasasaunaendeleakatikagatinamba 4 ambayoinakaribiakukabidhiwa
TPAnagatinamba 5 ambayouchorongajiunaendelea.
Ameongezakuwabaadayakukamilikakwaujenziwagatinamba
3 nagatinamba 4, ujenzihuoutaendeleakwagatinamba 5,6 na 7
nabaadayahapokaziitaendeleakwamagatiambayoyapochiniyaKampuniyaKimataifayaHudumazaMakontenaBandarini
(TICTS)
ambayotayariSerikaliyaAwamuyaTanoimeshafanyamazungumzoyakurekebishamkatabanasasamrabahaunaolipwanimara
2 ikilinganishwanazamani.
MhandisiKakokoamesemapamojanakujengagatihizo,
Serikali pia inanunuamitambomikubwayakupakulianakupakiamizigonahivyokuongezakasinaufanisizaidiwa
bandari.
Kufuatiajuhudihizoamesemasasa bandari ya Dar
es Salaam
itakuwanauwezowakutumiavizurifaidayakeyakijiografiakukabiliananaushindaniwa
bandari zotezilizopokatikaukandawa bandari ya Hindi nakuwalango bora
namuhimukwanchiza Afrika.
MhandisiKakokoamesemakazihiiyauboreshajiwa
Bandari a Dar es Salaam iliyopaswakufanyikamiaka 30 iliyopitaimesababisha
Tanzania kupotezakiasikikubwa cha
mapatonakwambakutokananauboreshajihuunahatuaambazoSerikaliyaAwamuyaTanoimechukua,
TPA itaendeleakuongozakatikautoajiwagawio.
Ameahidikuwamwakahuu TPA inatarajiakutoa
gawio la katiyashilingiBilioni 150 nashilingiBilioni 200
nakwambamiakamichacheijayo TPA kwakushirikiananawadauwenginewa bandari
watakuwanauwezowakuzalishafedhazakugharamiabajetinzimayaSerikaliambayonitakribanishilingiTrilioni
30 kwamwaka.
HalikadhalikaMhandisiKakokoamesemakaziyaujenziwa
bandari pia inaendeleakatika Bandari ya Mtwara naujenzikatika Bandari
yaTangautaanzamwezihuu (Agosti 2019)
No comments:
Post a Comment