Habari za Punde

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi Atembelea Banda la Maonesho la Zantel Jijini Dar es Salaam.Mkutano wa Mawaziri wa SADC.

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Idd akipata maelezo kuhusu huduma za kampuni ya mawasiliano ya Zantel, kutoka kwa  kutoka mwakilishi wa Kitengo cha Mauzo ya Jumla cha kampuni hiyo Yvonne Mashuda, wakati   alipotembelea banda la kampuni hiyo mwishoni mwa wiki kwenye kilele cha mkutano wa mawaziri wa SADC wa sekta ya TEHAMA uliofanyika jijini Dar es salaam.

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Idd akipata maelezo kuhusu huduma za kampuni ya mawasiliano ya Zantel, kutoka kwa  kutoka mwakilishi wa Kitengo cha Mauzo ya Jumla cha kampuni hiyo Yvonne Mashuda, wakati   alipotembelea banda la kampuni hiyo mwishoni mwa wiki kwenye kilele cha mkutano wa mawaziri wa SADC wa sekta ya TEHAMA uliofanyika jijini Dar es salaam.(PICHA NA VICTOR  JOSEPH) 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.