Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Alhajj Ali Mohamed Shein Ajumuika na Waumini wa Dini ya Kiislam Zanzibar Katika Hafla ya Kuadhimisha Kuzaliwa Kwa Mtume Muhammad(S.A.W) Viwanja Vya Maisara Suleiman F

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Alhajj Ali Mohamed Shein akisalimiana na Mshauri wa Jumuiya ya Milade Nabii Sheikh.Shirali Champsi alipoiwasili katika viwanja vya Maisara Suleima Wilaya ya Mhjini Unguja kuhudhuria hafla ya sherehe za Maulid ya Kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (S.A.W) yaliofanyika jana usiku.   
























No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.