Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Alhajj Ali Mohamed Shein akisalimiana na Mshauri wa Jumuiya ya Milade Nabii Sheikh.Shirali Champsi alipoiwasili katika viwanja vya Maisara Suleima Wilaya ya Mhjini Unguja kuhudhuria hafla ya sherehe za Maulid ya Kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (S.A.W) yaliofanyika jana usiku.
WAFANYAKAZI WIZARA YA FEDHA WAPONGEZWA KWA KUJISIMAMIA VYEMA, KUTEKELEZA
MAJUKUMU
-
*Wakumbushwa kutekeleza majukumu yao bila kuathiri afya zao
Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
KATIBU Mkuu Wizara ya Fedha Dkt. Natu Mwamba amewapongeza wafa...
35 minutes ago
No comments:
Post a Comment