Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi.Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, Azungumza na Mwakilishi Mkaazi wa UNDP Nchini Tanzania Ikulu Jijin i Zanzibar leo.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi.Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein akisalimiana na Mwakilishi Mkaazi wa UNDP Nchini Tanzania.Bi. Christne Musisi alipowasili katika ukumbi wa mkutano Ikulu Jijini Zanzibar kwa mazungumzo na Rais leo hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein akisalimiana na Afisa wa UNDP Ofisi ya Zanzibar.Bi.Rukia, alipowasili katika ukumbi wa Ikulu kwa ajili ya mazungumzo na Ujumbe huo leo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi.Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein akizungumza na Mwakilishi Mkaazi wa UNDP Nchini Tanzania.Bi. Christne Musisi alipofika Ikulu Jijini Zanzibar kuonana na Rais leo, hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi.Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein akikabidhiwa Ripoti ya Hiyari ya Utekelezaji wa Malengo ya Maendeleo Endelevu,(SDG’s) na Mwakilishi Mkaazi wa (UNDP) Nchini Tanzania.Bi.Christine Musisi, alipofika Ikulu Jijini Zanzibar kwa mazungumzo na Rais leo
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein akiwa na mgeni wake Mwakilishi Mkaazi wa (UNDP) Nchini Tanzania.Bi.Christine Musisi, wakitabasamu wakati wakitoka katika ukumbi wa mkutano baada ya kumaliza mazungumzo yao yaliofanyika leo 25-11-2019, katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.