Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein akimsikiliza Mkurugenzi wa Idara ya Umwagiliaji Maji Ndg. Haji Hamad Salum, akitowa maelezo ya michoro ya Mradi huo wakati wa hafla ya Uwekaji wa Jiwe la Msingi katika ujenzi huo unaojengwa na Kampuni ya Korea ya KOLON - HANSOL JV. hafla hiyo imefanyika katika eneo hilo la Kinyasini Kisongoni ikiwa ni shamrashamra za Kuadhimisha Miaka 56 ya Mapinduzi ya Zanzibar
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein,
akimsikiliza Mkurugenzi wa Idara ya Umwagiliaji Maji.Ndg. Haji Hamad Salum
akitowa maelezo ya Mradi Kilimo cha Umwagiliaji Maji, wakati wa hafla ya
Uwekaji wa Jiwe la Msingi Miundombinu ya Kilimo cha Mpunga wa Umwagiliaji Maji
unaojengwa katika eneo la Kinyasini Kisongoni na Kampuni kutoka Nchini Korea ya
KOLON –HANSOL JV. Ikiwa ni shamrashamra za sherehe za kuadhimisha miaka 56 ya
Mapinduzi ya Zanzibar, hafla hiyo imefanyika katika eneo hilo la mradi Wilaya
ya Kaskazini “A” Unguja leo
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akiondoa
kipazia kuashiria kuweka Jiwe la Msingi la Mradi wa Miundombinu ya Kilimo cha
Mpunga wa Umwagiliaji Maji katika eneo la Kinyasini Kisongoni akiwa na Project
Manager wa Kampuni ya Kolon.Ndg. Cho Kwang Lae, hafla hiyo imefanyika kinyasini
kisongoni Wilaya ya Kaskazini “A” Unguja, ikiwa ni shamrashamra za sherehe za
Maadhimisho ya Miaka 56 ya Mapinduzi ya Zanzibar
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein,
akimsikiliza Mkurugenzi wa Idara ya Kilimo cha Umwagiliaji Maji Ndg. Haji Hamad
Salum, akitowa maelezo ya Ujenzi wa Mradi wa Miundombinu ya Kilimo cha
Umwagiliaji wa Maji unaofanyika katika Kijiji cha Kinyasini Kisongoni Wilaya ya
Kaskazini “A” Unguja, (kushoto kwa Rais) Waziri wa Kilimo Maliasili Mifugo na
Uvuvi.Mhe.Mmanga Mjengo Mjawiri na Naibu Waziri wa Kilimo Maliasili Mifugo na
Uvuvi Mhe.Dkt. Makame Ali Ussi. Wakiwa katika eneo la ujenzi huo.
ENEO
la Ujenzi wa Mradi wa Miundombinu ya Kilimo cha Mpunga wa Umwagiliaji Maji
katika eneo la Kinyasini Kisongo, wakandarasi wa Kampuni ya KOLON HANSOL JV
kutoka Nchini Korea wakiendelea na ujenzi huo
KATIBU
Mkuu Wizara ya Kilimo Maliasili Mifugo na Uvuvi Zanzibar.Bi. Maryam Juma Mabodi
akitowa maelezo ya Kitaalam ya Ujenzi wa Mradi huo wa Miundombinu ya Kilimo cha
Mpunga wa Umwagiliaji Maji, wakati wa hafla ya uwekaji wa jiwe la msingi ikiwa
ni shamrashamra za sherehe za Miaka 56 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
NAIBU
Mwakilishi Mkaazi wa Benki ya Exim ya Korea Ndg.Kang Sangjin akitowa salamu
za Kores Eximbank wakati wa hafla ya
Uwekaji wa Jiwe la Msingi la Mradi wa Miundombinu ya Kilimo cha Mpunga wa
Umwagiliaji Maji unaojengwa na Kampuni ya Kolon –Hansol Jv kutoka nchini Korea.
WAZIRI
wa Kilimo Maliasili Mifugo na Uvuvi Zanzibar.Mhe.Mmanga Mjengo Mjawiri
akizungumza wakati wa hafla hiyo kabla ya kumkaribisha mgeni rasmin Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein,
kuzungumza na Wananchi wa Mkoa wa Kaskazini Unguja, wakati wa shamrashamra za
sherehe za Miaka 56 ya Mapinduzi ya Zanzibar
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein,
akihutubia katika hafla ya Uwekaji wa Jiwe la Msingi Miundombinu ya Kilimo cha
Mpunga wa Umwagiliaji Maji katika eneo la Kinyasini Kisongoni Wilaya ya
Kaskazini “A” Unguja ikiwa ni shamrashamra za kusherehekea Miaka 56 ya
Mapinduzi ya Zanzibar,( kulia kwa Rais) Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar.Mhe.
Balozi Seif Ali Iddi na (kushoto kwa Rais) Waziri wa Kilimo Maliasili Mifugo na
Uvuvi Zanzibar.Mhe. Mmanga Mjengo Mjawiri
WANANCHI
wa Mkoa wa Kaskazini Unguja na Wafanyakazi wa Wizara ya Kilimo Maliasili Mifugo
na Uvuvi wakifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi.Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein.(hayupo pichani) wakati wa hafla hiyo
iliofanyika katika kijiji cha kinyasini kisongoni Wilaya ya Kaskazini
“A”Unguja.
BAADHI
ya Wafanyakazi wa Kampuni ya Ujenzi ya KOLON –HANSOL JV kutoka Nchini Korea,
wakifuatilia hafla hiyo ya uwekaji wa Jiwe la msingi la mradi huo, wakati Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi.Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein,
akihutubia hafla hiyo (hayupo pichani) katika kijiji cha Kinyasini Kisongoni
Wilaya ya Kaskazini “A” Unguja
WANANCHI
wa Mkoa wa Kaskazini Unguja na Wafanyakazi wa Wizara ya Kilimo Maliasili Mifugo
na Uvuvi wakifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi.Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein.(hayupo pichani) wakati wa hafla hiyo
iliofanyika katika kijiji cha kinyasini kisongoni Wilaya ya Kaskazini
“A”Unguja.
WANANCHI
wa Mkoa wa Kaskazini Unguja na Wafanyakazi wa Wizara ya Kilimo Maliasili Mifugo
na Uvuvi wakifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi.Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein.(hayupo pichani) wakati wa hafla hiyo
iliofanyika katika kijiji cha kinyasini kisongoni Wilaya ya Kaskazini
“A”Unguja.
No comments:
Post a Comment