Habari za Punde

TAARIFA KWA UMMA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
OFISI YA MAKAMU WA RAIS

Telegrams: "MAKAMU’’,
Simu +255 26 2329006
Nukushi.: + 255 26 2329007
Barua Pepe: km@vpo.go.tz


 Mji wa Serikali,
 Eneo la Mtumba,
 Jengo la Ofisi ya Makamu wa Rais,
 Ihumwa,
 S.L.P 2502,
   DODOMA,
 TANZANIA.






                   



TAARIFA KWA UMMA


HECHE


BW.  MANCHARE HECHE SUGUTA

Tunapenda kuutarifu Umma kwamba mtajwa ambaye picha yake inaonekana hapo juu alikuwa mtumishi wa Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC). Kwasasa, Bw. Manchare Heche Suguta amepangiwa majukumu mengine kwa utaratibu wa kawaida wa Serikali hivyo hatahusika na shughuli zozote za Baraza wala Ofisi ya Makamu wa Rais.

Imetolewa na
Mhandisi Joseph K. Malongo
Katibu Mkuu


11/02/2020

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.