Naibu Waziri Wizara ya
Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dkt. Angeline
Mabula akizungumza na Wakurugenzi pamoja na Wataalam wa Idara ya Ardhi
wa Halmashauri sita za Mkoa wa Simiyu kuhusu ukusanyaji kodi ya Pango la Ardhi
pamoja na utunzaji wa nyaraka za sekta ya Ardhi.
Naibu Waziri Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dkt. Angeline Mabula, Akikabidhi vitendea kazi kwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Bariadi Mjini, Ndg.Melikzedek Humbe kwa niaba ya Halmashauri zote za Mkoa wa Simiyu mara baada ya kuzungumza na Wakurugenzi pamoja na Wataalam wa Idara ya Ardhi wa Halmashauri hizo kuhusu ukusanyaji kodi ya Pango la Ardhi pamoja utunzaji wa nyaraka za sekta ya Ardhi.
Naibu Waziri Wizara ya
Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dkt. Angeline Mabula,
Akikabidhi vitendea kazi kwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Bariadi Mjini, Ndg.Melikzedek Humbe kwa niaba ya Halmashauri zote za Mkoa wa Simiyu mara baada ya kuzungumza na Wakurugenzi pamoja na Wataalam wa Idara ya
Ardhi wa Halmashauri hizo kuhusu ukusanyaji kodi ya Pango la Ardhi
pamoja utunzaji wa nyaraka za sekta ya Ardhi.
Mkuu wa Kitengo cha
Kodi kutoka Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Ndg. Denis Masami, akifafanua hali ya makusanyo ya kodi ya pango la Ardhi
kwa nchi nzima, hadi sasa Serikali kupitia Wizara Ardhi inaendelea kutoa elimu kwa umma kuhusu ulipaji wa kodi hiyo.
Naibu Waziri Wizaraya
Ardhi, NyumbanaMaendeleoyaMakaziDkt AngelinaMabulaamesemaanasikitishwasananaWakurugenzikatikaHalmashaurizaMkoawaSimuyukutojishughulishahatakidogonaufuatiliajiwakodiyapango
la Ardhi. Naibu Waziri aliyasemahayokatikaziarayakeMkoaniSimiyu,
alipokutananawakurugenzipamojanamaafisambalimbaliwaSektaya Ardhi
mkoanihumokwalengo la kugawavifaavyakusaidiaukusanyajikodiyapango la Ardhi,
pamojanakukaguautunzajiwanyarakakatikamasjalaza Ardhi.
Katikaziarahiyo,
Naibu Waziri
DktMabulaalipatanafasiyakupokeataarifayahaliyamakusanyoyakodiyapango la Ardhi kutokakatikaWilayazotezaMkoawaSimiyunabaadaetaarifayajumlayamakusanyokutokakwaMkuuwaKitengo
cha KodiWizaraya Ardhi ndugu Denis Masami
kablahajagawavifaavyakusaidiakaziyaukusanyaji.
TaarifayajumlailiyowasilishwanaMkuuwaKitengo
cha Kodi, ilioneshaMkoawaSimiyukuwanyumasanakatikamakusanyo.
UkilinganishakiasikilichokusanywanaMkoanalengolililokusudiwakukusanywakwamwaka,
badohatanusuyalengohaijafikiwanamudauliobakikumalizamwakawafedhanimiezimiwilituu.
MkuuwaKitengo cha
KodikutokaWizaraya Ardhi alisema, kwakulionahilo la
kuwanyumakimakusanyokamachangamoto,
WizarailiamuakuzipatiaHalmashaurizotesitazaMkoawaSimiyuvifaakama vile
Karatasina Wino ilikuongezakasikatikaufuatiliajiwakodiyaPango la Ardhi.
Aliongezakwamba,
WizaraimesaidiakupatikanahivyovifaaikiaminisasahatizamadaizitaandaliwanawadaiwawatapelekewailikodistahikiyaSerikaliikusanywe.
NaeNaibu Waziri
DktMabulawakatianakabidhivifaahivyoalisema,
hakunasababutenayaWakurugezikutokukusanyakodiyapango la Ardhi
kwakuwavitendeakazivyamsingiwamepewanaSerikalikupitiaWizara. Aliongezakwamba,
WakurengiwaonekaziyamakusanyoyakodiyaPango la Ardhi katikaumuhimu wake
kwaniSektaya Ardhi inamchangomkubwasanakatikauchumiwanchinamaendeleoyanchikwaujumla.
No comments:
Post a Comment