JAMHURI YA MUUNGANO WA
TANZANIA
WIZARA
YA MIFUGO NA UVUVI
|
|
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Dodoma,
Juni 22, 2020
Waziri
wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Luhaga Joelson Mpina (Mb) kwa Mamlaka aliyonayo chini ya
Kifungu cha 4(1) cha Sheria ya Veterinari Na. 16 ya Mwaka 2003 amewateua Wajumbe
wa Baraza la Veterinari Tanzania kama ifuatavyo: -
1.
Dkt.
Bhakilana Augustine Mafwere Mwakilishi
Chama cha Wafanyabiashara wa Dawa
za Wanyama
2.
Prof.
Amandus Pachifius Muhairwa Mwakilishi,
Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo
3.
Dr.
Henry Budodi Magwisha Mwakilishi,
Chama cha Madaktari wa Mifugo (TVA)
4.
Mr.Aloyce
Edward Mbunito Mwakilishi,
Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali
5.
Dkt.
Emmanuel Bihemo Sokombi Mwakilishi,
Madaktari wa Mifugo wa Sekta Binafsi
6. Prof. Hezron Emmanuel Nonga Mkurugenzi wa Huduma za Mifugo,
Wizara ya Mifugo na Uvuvi.
7. Dkt.Ramadhani Abdul Mwaiganju Daktari wa Mifugo Mkoa, Ofisi ya Mkuu
wa Mkoa Ruvuma.
8. Bi.Trasila Claudio Kipesha Mwakilishi, Chama cha Wataalam
Wasaidizi wa Mifugo (TAVEPA)
Uteuzi
huu umeanza tarehe 21/6/2020 kwa
kipindi cha miaka mitatu (3).
Aidha,
Mwenyekiti wa sasa wa Baraza la Veterinari Tanzania, Prof. Rudovick Reuben Kazwala
ataendelea na wadhifa huo hadi Mwezi Mei, 2021 kipindi chake
cha miaka minne (4) kitakapomalizika.
Imetolewa
na,
(LIMESAINIWA)
Rehema
Mbulalina
Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
22/6/2020
No comments:
Post a Comment