Muonekano wa Masjid Tauhid Fuoni baada ya kukamilika ujenzi wake na kufunguliwa jana na Naibu Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh. Mahmoud Mussa Wadi, kwa niaba ya Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabi. hafla hiyo imefanyika katika Masijid hiyo huko Fuoni Wilaya ya Magharibi "B" Unguja.
RUGAMBWA ATEULIWA KAMATI YA MASHINDANO CHAMA CHA SOKA MKOA WA SONGWE
-
Chama cha Soka Mkoa wa Songwe imemtetua Ndugu Juvenalius Rugambwa kuwa
mjumbe wa Kamati ya Mashindano ya Chama cha Soka Mkoani humo SOREFA.
Rugambwa,...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment