Muonekano wa Masjid Tauhid Fuoni baada ya kukamilika ujenzi wake na kufunguliwa jana na Naibu Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh. Mahmoud Mussa Wadi, kwa niaba ya Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabi. hafla hiyo imefanyika katika Masijid hiyo huko Fuoni Wilaya ya Magharibi "B" Unguja.
DSE na TSA Waanzisha Ushirikiano kwa Maendeleo ya Startups na Ubunifu Nchini
-
Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE) limeingia kwenye ushirikiano rasmi na
Tanzania Startup Association (TSA) kwa kusaini makubaliano ya ushirikiano
(MoU...
8 hours ago
No comments:
Post a Comment