Muonekano wa Masjid Tauhid Fuoni baada ya kukamilika ujenzi wake na kufunguliwa jana na Naibu Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh. Mahmoud Mussa Wadi, kwa niaba ya Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabi. hafla hiyo imefanyika katika Masijid hiyo huko Fuoni Wilaya ya Magharibi "B" Unguja.
Benki ya CRDB yakabidhi madarasa Sekondari ya Kikilo, Shule ya Msingi
Isabe, Kondoa
-
Benki ya CRDB kupitia sera yake ya uwekezaji kwa jamii, Aprili 24 - 25,
2024 ilikabidhi madarasa mawili katika Shule ya Sekondari Kikilo na
madarasa mengi...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment