Maji ni muhimu kwa kila kitu kwa matumizi yake Binadamu, Mimea na Wanyama wanahitaji maji .Kama anavyoonekana pichani Kuku huyu akijipatia maji kupitia katika bomba la kutolea maji nje katika moja ya nyumba eneo la tunguu Zanzibar Mkoa wa Kusini Unguja.
MICHANGO ISIZUIE MTOTO KUPATA ELIMU
-
Na Angela Msimbira, NZEGA
NAIBU Waziri, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe.
Zainab Katimba amesisitiza kuwa uchangiaji katika sekta ya...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment