Maji ni muhimu kwa kila kitu kwa matumizi yake Binadamu, Mimea na Wanyama wanahitaji maji .Kama anavyoonekana pichani Kuku huyu akijipatia maji kupitia katika bomba la kutolea maji nje katika moja ya nyumba eneo la tunguu Zanzibar Mkoa wa Kusini Unguja.
BI. OMOLO ASISITIZA WAKAGUZI WA NDANI KUZINGATIA UADILIFU KATIKA UTENDAJI
KAZI.
-
Na. Saidina Msangi, WF, Arusha.
Watumishi wa Idara ya Mkaguzi wa Ndani Mkuu wa Serikali wamehimizwa
kuendelea kufanya kazi kwa uadilifu, uaminifu na kuji...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment