MAKADA wa Chama Cha
Mapinduzi CCM na wagombea Uwakilishi wa majimbo matano ya Wilaya ya Chake
Chake, wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kukabidhiwa fomu za kuwania
nafasi hizo, huko katika ofisi za ZEC Wlaya ya Chake Chake.
KADA wa Chama cha
Mapinduzi na Mgombea Uwakilishi jimbo la Chonga Suleiman Masoud Makame,
akikabidhiwa fomu kuwania nafasi hiyo kutoka kwa Msimamizi wa Uchaguzi jimbo la
Chonga, hafla iliyofanyika ofisi za ZEC Wlaya ya Chake Chake
KADA wa Chama cha
Mapinduzi na Mgombea Uwakilishi jimbo la Ziwani Suleiman Makame Ali,
akikabidhiwa fomu kuwania nafasi hiyo kutoka kwa Msimamizi wa Uchaguzi jimbo la
Ziwani, hafla iliyofanyika ofisi za ZEC Wlaya ya Chake Chake
KADA wa Chama cha
Mapinduzi na Mgombea Uwakilishi jimbo la Ole Massoud Ali Mohammed, akikabidhiwa
fomu kuwania nafasi hiyo kutoka kwa Msimamizi wa Uchaguzi jimbo la Ole, hafla
iliyofanyika ofisi za ZEC Wlaya ya Chake Chake.
KADA wa Chama cha
Mapinduzi na Mgombea Uwakilishi jimbo la Wawi Bakari Hamad Bakari, akikabidhiwa
fomu kuwania nafasi hiyo kutoka kwa Msimamizi wa Uchaguzi jimbo la Wawi, hafla
iliyofanyika ofisi za ZEC Wlaya ya Chake Chake Pemba
Picha na Abdi Suleiman -Pemba.
No comments:
Post a Comment