Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein Ameifungua Barabara ya Iliyojengwa kwa Kiwango cha lami Koani Hadi Jumbi Wilaya ya Kati Unguja.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein akiondoa kitambaa kuashiria kuweka Jiwe la Msingi la Ufunguzi wa Barabara ya Jumbi hadi Koani hadi Jumbe Wilaya ya Kati Unguja leo 2/10/2020. na (kulia kwa Rais) Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Balozi Seif Ali Iddi na (kushoto kwa Rais) Mgombea Urais wa Zanzibar kwa Tiketi ya CCM Mhe.Dk.Hussein Ali Hassan Mwinyi, hafla hiyo imefanyika katika eneo la Jumbi. barabara hiyo imejengwa na Kampuni MECCO Tanzania.










 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.