Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein akiondoa kitambaa kuashiria kuweka Jiwe la Msingi la Ufunguzi wa Barabara ya Jumbi hadi Koani hadi Jumbe Wilaya ya Kati Unguja leo 2/10/2020. na (kulia kwa Rais) Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Balozi Seif Ali Iddi na (kushoto kwa Rais) Mgombea Urais wa Zanzibar kwa Tiketi ya CCM Mhe.Dk.Hussein Ali Hassan Mwinyi, hafla hiyo imefanyika katika eneo la Jumbi. barabara hiyo imejengwa na Kampuni MECCO Tanzania.
MAKAMU WA RAIS ASHIRIKI UWEKAJI JIWE LA MSINGI LA UKARABATI MKUBWA WA RELI
YA TAZARA
-
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel
Nchimbi amesema ukarabati wa reli ya TAZARA utaimarisha Ukanda wa Kati na
Kusi...
7 hours ago

No comments:
Post a Comment