Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein akiondoa kitambaa kuashiria kuweka Jiwe la Msingi la Ufunguzi wa Barabara ya Jumbi hadi Koani hadi Jumbe Wilaya ya Kati Unguja leo 2/10/2020. na (kulia kwa Rais) Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Balozi Seif Ali Iddi na (kushoto kwa Rais) Mgombea Urais wa Zanzibar kwa Tiketi ya CCM Mhe.Dk.Hussein Ali Hassan Mwinyi, hafla hiyo imefanyika katika eneo la Jumbi. barabara hiyo imejengwa na Kampuni MECCO Tanzania.
Vodacom yazindua simujanja maalumu itakayosaidia wateja wenye ulemavu
-
Balozi wa Pakistani nchini Siraj Ahmad Khan (kushoto), Mkurugenzi wa
Biashara wa Vodacom Tanzania, Linda Riwa (katikati) na Afisa Mtendaji Mkuu
wa kampun...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment