Habari za Punde

MAJALIWA AKAGUA UJENZI WA HOSPITALI YA UHURU WILAYANI CHAMWINO

Jengo la Hospitali ya Uhuru inayojengwa na Serikali katika wilaya Chamwino, Dodoma ambako Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa alikagua maendeleo ya ujenzi wake, Novemba 20, 2020
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua ujenzi wa Hospitali ya Uhuru wilayani Chamwino,Mkoani Dodoma
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiagana na viongozi wa Mkoa wa Dodoma baada ya kukagua ujenzi wa Hospitali ya Uhuru wilayani Chamwino
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua ujenzi wa Hospitali ya Uhuru wilayani Chamwino,Mkoani Dodoma
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua ujenzi wa Hospitali ya Uhuru wilayani Chamwino,Mkoani Dodoma Novemba 20, 2020. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.