Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi Azungumza na Wananchi Baada ya Kuwaapisha Mawaziri Viwanja Vya Ikulu Jijini Zanzibar.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi  akihutubia baada ya kumaliza kuwaapisha Mawaziri aliowachagua hivi katika, wakati wa hafla hiyo iliofanyika katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar 21/11/2020 na kutowqa nasaha zake kwa Viongozi aliowaapisha
WAKUU wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama Zanzibar wakifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akihutubia baada ya kumaliza kuwaapisha Mawaziri katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar 
BAADHI ya Viongozi wa Dini mbalimbali Jijini Zanzibar wakihudhuria katika hafla ya kuapishwa Mawaziri iliofanyika katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar, wakifuatlia hutuba ya Rais  wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akihitibia baada ya kumaliza kuwaapisha Mawaziri. 
WAHESHIMIWA Mawaziri wakifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi  Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akihutubia baada ya kumaliza kuwaapisha Mawaziri katika viwanja vya  Ikulu Jijini Zanzibar .
MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla na (kushoto kwake)Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Maryam Mwinyi, Spika wa Baraza la Wawakilishi Mhe.Zuberi Ali Maulid Mke wa Makamu wa Pili wa Rais Mama Sharifa Omar Khalfan na Wageni waalikwa katika hafla ya kuapishwa kwa Mawaziri , wakifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) akihutubia katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar.
BAADHI ya Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar  wakifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) akihutubia baada ya kumaliza kuwaapisha Mawaziri aliowateua hivi karibuni hafla hiyo imefanyika katika viwanja vya Ikulu 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.