HOTUBA YA MHESHIMIWA DK. HUSSEIN ALI MWINYI, RAIS WA
ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI, KATIKA HAFLA YA KUMUAPISHA
MAKAMU WA KWANZA WA RAIS MHESHIMIWA SEIF SHARIF HAMAD - IKULU ZANZIBAR
08 DISEMBA, 2020
Mheshimiwa Maalim Seif Sharif Hamad;
Makamu wa
Kwanza wa Rais wa Zanzibar,
Mheshimiwa Hemed Suleiman Abdulla;
Makamu wa Pili wa Rais,
Mheshimiwa Zubeir Ali Maulid;
Spika wa Baraza la
Wawakilishi Zanzibar,
Mheshimiwa Omar Othman Makungu;
Jaji Mkuu wa
Zanzibar,
Mheshimiwa Dk. Mwinyi Talib Haji;
Mwanasheria Mkuu wa
Zanzibar,
Waheshimiwa Mawaziri wa Wizara mbalimbali za SMZ,
Dk. Abdulhamid Yahya Mzee;
KatibuwaBaraza
la MapinduzinaKatibuMkuuKiongozi,
Mheshimiwa Idrisa Kitwana Mustafa;
Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi,
Mheshimiwa Dk. Abdalla Juma Saadalla Mabodi;
Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar,
Mheshimiwa Zitto Zuberi Kabwe;
Kiongoziwa Chama cha ACT Wazalendo,
Waheshimiwa Wabunge na Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Mliohudhuria,
Ndugu Viongozi wa Dini,
Ndugu Viongozi wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama,
Ndugu Viongozi Wote wa Chama na Serikali,
Ndugu Waandishi wa Habari,
Wageni waalikwa,
Mabibi na Mabwana,
Assalam Aeikum,
Ndugu Viongozi na Wageni Waalikwa,
Awali ya yote,
namshkuru Mwenyezi Mungu, Muumba wa Mbingu na Aradhikwa kutujaalia afya njema
na kuweza kukutana hapa Ikulu, kwa ajili ya hafla hii muhimu ya
kumuapisha Mheshimiwa Maalim Seif
Sharif Hamad, ambae juzi
nilimteua kuwa Makamu wa Kwanza wa Rais
wa Zanzibar katika Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ya Awamu ya Nane. Nakushukuru
Mheshimiwa Maalim Seif Sharif Hamad Makamu wa Kwanza wa Rais, kwa kukubali uteuzi wangu. Ridhaa yako imeniwezesha
kutimiza matakwa ya Katiba ya Zanzibar ya
Mwaka 1984 katika Ibara ya 39 - (1), nakuuu:Kutakuwa na Makamu Wawili wa Rais ambao watajulikana kama Makamo wa
Kwanza wa Rais na Makamu wa Pili wa Rais.
Hatua hii muhimu imekamilisha uteuzi wa viongozi wa ngazi za juu katika Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ya Awamu ya Nane ninayoiongoza.
Nachukua fursa hii kumpongeza Mheshimiwa Maalim Seif Shariff Hamad kwa kupendekezwa na Chama chake cha ACT Wazalendo ili ateuliwe kushika nafasi ya Makamo wa Kwanza wa Rais. Kupendekezwa kwa jina lake, na kuteuliwa kwake ni ushahidi usio na shaka wa imani kubwa ambayo wanachama na viongozi wa ACT wamewekeza juu yake. Nami kwa kuheshimu na kutambua uzito wa imani hiyo kwake, na imani yangu kwake, nikamteua bila kigugumizi chochote, kuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar.
Tarehe
2 Novemba, 2020 niliapa katika Uwanja wa Amaan,kuwa Rais wa Awamu ya Nane wa Zanzibar.
Katika kiapo changu kile, pamoja na mambo mengine,
niliapa kuilinda na kuingoza nchi yetu kwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984.
Katiba yetu, Kifungu cha 9 (3) inaelekeza (nanukuu), “Muundo wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar utakuwa wa umoja wa kitaifa na utendaji wa kazi zake utafanywa katika utaratibu utakaohakikisha kuendelezwa kwa umoja nchini na lengo
la kufikia demokrasia”.Aidha, Kifungu 39 (3) kinanitaka,
kumteua Makamo wa Kwanza wa Rais kutoka Chama kilichopata nafasi ya pili katika uchaguzi,
na chenye idadi ya kura zaidi ya asilimia 10.
Hapana shaka kuwa uteuzi huu nilioufanya umezingatia na kutimiza matakwa ya Katiba yetu. Mbali na kuwa nitakwa la Katiba, binafsi, mimi ni muumini wa umoja wa kitaifa, mshikamano, udugu na maridhiano. Na amini kwa dhati ya moyo wangu kuwa maridhiano ni njia nzuri ya kujenga umoja wa kijamii na ustawi wa nchi na wananchi wake. Ni jambo linalowaleta watu pamoja, linaloileta nchi pamoja, linalotuhakikishia amani na mshikamano wa kudumu.
Kutokana na ukweli huo,
nilielezea katika hotuba yangu ya kufunga Kampeni zangu pale
Kibanda maiti na pia katika siku ya Kufungua Baraza la Wawakilishi juu ya dhamira yangu na utayari wangu wa kuyaendelezamaridhianonakuundaSerikaliyaUmojawaKitaifa.
Nilitumiafursahizopiakufafanuamatumainiyangukuwa,
kizazi cha leo cha Wazanzibariambaoasilimia 93
wamezaliwabaadayaMapinduzinaMuungano, kinayodhimayakipekeeyakufungaukurasawauhasamanachuki,
nakufunguaukurasampyawaupendonamaridhiano. Matamanioyangu,
bilashakanayawengiwanayoitakiamema Zanzibar yetu,nikuondoshwakwamajerahanamadondayahistoriayetuya
Zanzibar, ambayoyameendeleakuwamtihanikwetumarakwamarakatikachaguzizetu.
Ndugu Viongozi na Wageni Waalikwa,
Katikakuyaendelezanakuyastawishamaridhiano,
ukowajibuwaviongozi,
ukowajibuwavyamavyasiasanaukowajibuwawananchinajamiikwaujumla. Mimi, naahidi,
nitajitahidikwakadriyauwezowangukuyajenganakuyadumishamaridhianokwamaslahimapanayanchiyetu.
Yale yaliyondaniyamamlakanauwezowangu, nitayatekelezabilakigugumiziwalaajizi.
Kwakuanzia, nimetekelezamaelekezoyaKatibakwakuwafikiawenzetuwa ACT nakuwakaribishakuundaSerikali. Aidha, kwamamlakaniliyonayokwenyeKifungu cha 66 cha Katibaya Zanzibar, nimewateuajanatarehe 7 Desemba, 2020, MheshimiwaNassor Ahmed MazruinaMheshimiwa Omar Said ShaabankuwaWawakilishikutokamiongonimwanafasi 10 nilizopewazakuteuaWajumbewaBaraza la Wawakilishi. Aidha, nitashauriananaMheshimiwaMakamowa Kwanza waRaisjuuyakujazanafasizilizobakikatikaBaraza la Mawazirinanamna bora yakuendeshaSerikaliyetuyaUmojawaKitaifa.
Ndugu Viongozi na Wageni Waalikwa,
Maridhianoyakweliyanajengwakwa
mambo makuumatatu:Kwanza nidhamira.
Pandezotembilizilizotofautiananilazimakuwanaudhatikatikakufanikishanakuendelezamaelewanobainayao.
Maridhianoyaukwelihayawezikupatikananakuwaendelevuiwapowahusikanawadauwotehawanadhamirayakweliyakufikia,kufanikishanakuendelezamaridhianohayo.
Pili, kuvumiliana,
kustahamiliananakusahauyaliyopita. Waswahiliwalisema, “Yaliyopitasindweletugangeyajayo”.Maridhianoyoyoteyakijamiihayawezikudumuiwapokilasikututakuwatunakumbushanakwa
mambo ambayoyamepita.
Ujasiriwamaridhianonikusahauyaliyopitanakutotoneshavidondakwanividondavikitoneshwakilamarahaviwezikupona.
Na tatu,kujengautamaduniwakuaminiana.
Maridhianoyoyotehayawezikudumuiwapopandembilizitakuwahaziaminianinakilawakatikutafutasababuyakutupianalawamanakutoanakasoro.
Ndugu Viongozi na Wageni Waalikwa,
Nafahamu kwamba uamuzi wa Mheshimiwa Maalim Seif Sharif
Hamad, umezingatia ushauri na maoni
kutoka kwa viongozi na wananchama wa chama Chake. Maamuzi haya
yamefanyika kwa kufuata taratibu za Chama cha ACT – Wazalendo na baada ya
kufanyika vikao mbali mbali. Kwa hivyo nachukua fursa hii, kutoa shukurani kwa
viongozi na wafuasi wa Chama hicho kwa mchango wao katika kufikia kufanyika
maridhiano na wakaweza kushirikiana na Chama cha Mapinduzi katika kuunda
Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Awamu ya Nane.
Ndugu Viongozi na Ndugu Wananchi,
Kwa upande wangu, maamuzi haya yamefikiwa kwa kuzingatia
mawazo, maeleke na busara kutoka
viongozi wa Chama Changu, CCM na siyo maamuzi ya peke yangu. Natoa shukurani
kwa viongozi wenzangu wa CCM kwa mawazo yao na maelekezo yao hadi tukaweza
kufikia katika hatua hii tunayoishudia hivi sasa. Mafanikio hayo ni kielelezo
cha ukomavu wa CCM katika kuendesha
siasa bora hapa nchini.
Ndugu Viongozi na Ndugu Wananchi,
Sisi viongozi kila
wakati hatuna budi kuzingatia na
tufahamu kwamba maslahi ya wananchi ndio
jambo la msingi. Tafauti zetu, kama ndogo au kubwa, zisiwe kikwazo cha
maendeleo ya wananchi na nchi yetu kwa
jumla. Katiba ya Zanzibar imeeleza
kwamba ‘Mamlaka ya kuendesha nchi ni ya
wananchi wenyewe’, Bila ya shaka tumeweza
kufikia hatua hiyo kwa sababu tunauelewa ukweli huo wa kikatiba. Nasaha zangu
kwa wananchi, ni kwamba sote tuwe kitu kimoja na tuunge mkono juhudi hizi zenye
lengo la kuimarisha umoja na mshikamano wa kitaifa.
Ndugu Viongozi na Ndugu Wananchi
Nimaliziekwakusemakuwa,
pamojanamimikuahidikutekelezayaleyaliyondaniyauwezowangu,
mafanikioyamaridhianoyetuyatategemeasanautayariwavyamavyetunautayariwawananchiwetukuzipakisogotofautizetunakuyatazamamatumainiyaliyombeleyetu.
Mimi naMheshimiwaMaalimSeiftumeonyeshautayarihuo. Ninyinanyiridhianeni,
kilammojakwanafasiyake. Tuijenge Zanzibar mpya. Zanzibar yenyemshikamano,
Zanzibar yenyemaelewanona Zanzibar yenyeneematupu. Mimi
ninayomatumainimakubwasanajuuyahukotuendako.
NakushukurutenaMheshimiwaMakamuwa KwanzaRais, MaalimSeif Sharif HamadkwakuheshimunakutimizamatakwayaKatibanakwamoyowakowamaridhiano. Nakishukuru Chama chakokwaushirikianoambaokimekupa. Nakishukuru Chama changu cha Mapinduzinakwanamnayakipekee, MwenyekitiwangunaRaiswaJamhuriyaMuunganowa Tanzania MheshimiwaDkt. John Pombe Joseph MagufulinaMakamuMwenyekitiwa CCM naRaisMstaafuwa Zanzibar, MheshimiwaDkt. Ali Mohamed Sheinkwabarakazaonakuungamkonohatuahii. Bilakuwasahau, wananchiwa Zanzibar kwakuungananasikatikahatuanyinginemuhimuyakuijenga Zanzibar Mpya.
MunguIbariki, Zanzibar,
MunguIbariki, Tanzania.
Ahsantenisanakwakunisikiliza!
No comments:
Post a Comment