Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Khamis Hamza Chilo (katikati), akiongozana na Kamishna wa Polisi Zanzibar, Mohammed Hassani Haji (kushoto)leo, kuingia ndani ya nyumba za askari polisi zinazojengwa eneo la Finya,Wilaya ya Wete,Mkoa wa Kaskazini Pemba.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Khamis Hamza Chilo (kushoto), akiongozana na Uongozi wa Juu wa Jeshi la Polisi Zanzibar wakati wa Ukaguzi wa nyumba za askari polisi (zinazoonekana pichani)leo, zilizopo eneo la Finya, wilaya ya Wete, Mkoa wa Kaskazini Pemba.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Khamis Hamza Chilo (wapili kushoto), akiongozana na Uongozi wa Juu wa Jeshi la Polisi Zanzibar kutoka ndani ya nyumba za askari polisi zilizopo eneo la Finya,Wilaya ya Wete,Mkoa wa Kaskazini Pemba, wakati wa ukaguzi wa miradi iliyopo katika taasisi za wizara yake,leo Kisiwani Pemba.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Khamis Hamza Chilo (kulia), Kamishna wa Polisi Zanzibar, Mohammed Hassan Haji, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kaskazini Pemba, Juma Sadi Hamis na Kamishna wa Uhamiaji Zanzibar, Johari Sururu wakiangalia paa la moja ya nyumba za askari polisi zinazojengwa eneo la Finya, wilaya ya Wete, Mkoa wa Kaskazini Pemba,wakati wa ziara ya naibu waziri kukagua miradi ya taasisi zilizopo chini ya wizara yake, leo Kisiwani Pemba.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
DKT JAKAYA KIKWETE AMPONGEZA MHITIMU UDSM KWA KUVUNJA REKODI YA MIAKA 32
KWA KUPATA DARAJA LA KWANZA LAW SCHOOL
-
Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam Rais Mstaafu Wa Awamu ya Nne Dkt
Jakaya Mrisho Kikwete akimpongeza Mhitimu wa Shahada ya Awali ya Sheria
ambaye aliv...
7 hours ago

No comments:
Post a Comment