Habari za Punde

Rais Dk Hussein Mwinyi akutana na wadau wa Mji Mkongwe

Baadhi ya Wadau wa Mji Mkongwe waliohudhuria katika Mkutano wa Rais pamoja na wadau hao kuzungumzia maswala mbalimbali ya Mji Mkongwe hafla iliofanyika Ukumbi wa Sheikh Idriss Abdulwakil kikwajuni Zanzibar.
Mkurugenzi wa Mamlaka ya Mji Mkongwe, Issa Sarboko akitoa maelezo kihusiana na Uhifadhi wa Mji Mkongwe unaotambulika kama urithi wa Dunia  katika Mkutano wa Rais pamoja na wadau wa Mji Mkongwe kuzungumzia maswala mbalimbali ya Mji Mkongwe hafla iliofanyika Ukumbi wa Sheikh Idriss Abdulwakil Kikwajuni Zanzibar.
Waziri wa Utalii na Mambo ya Kale Leila Mohamed Mussa akitoa maelezo kuhusu Jengo la Beit El Ajaib  katika Mkutano wa Rais pamoja na wadau wa Mji Mkongwe kuzungumzia maswala mbalimbali ya Mji Mkongwe hafla iliofanyika Ukumbi wa Sheikh Idriss Abdulwakil Kikwajuni Zanzibar.

Baadhi ya Viongozi mbalimbali waliohudhuria katika Mkutano uliowakutanisha Wadau wa Mji Mkongwe mkutano Uliofanyika  Ukumbi wa Sheikh Idriss Abdulwakil kikwajuni Zanzibar. 


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi DKT,Hussein Ali Mwinyi akitoa hotuba katika Mkutano uliowakutanisha Wadau wa Mji Mkongwe mkutano Uliofanyika  Ukumbi wa Sheikh Idriss Abdulwakil kikwajuni Zanzibar.

PICHA NA YUSUUF SIMAI/MAELEZO ZANZIBAR.

 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.