KatibuMkuuWizarayaMawasilianonaTeknolojiaya
Habari, Dkt Zainab Chaulaakifunguakikao cha wadau cha
kujadilimkakatiwakukuzanakuendelezamatumiziyaTEHAMA katikavituovyaafyanashule
za msinginasekondarinchinikilichofanyikajijini Dodoma.
MkurugenziwaKiufundiwaMifumokutokakatikaShirikalinalojihusishanakuimarishamifumoyaSektaya
umma (PS3+) DesderiWengaaakizungumzakatikakikao cha wadau cha kujadilimkakatiwakukuzanakuendelezamatumiziya
TEHAMA katikavituovyaafyanashule za msinginasekondarinchinikilichofanyikajijini
Dodoma.KushotoniKatibuMkuuWizarayaMawasilianonaTeknolojiaya Habari, Dkt Zainab
Chaula
Baadhiyawadauwalioshirikikikao
cha kujadilimkakatiwakukuzanakuendelezamatumiziya TEHAMA
katikavituovyaafyanashule za msinginasekondarinchinikilichofanyikajijini
Dodoma.
KatibuMkuuWizarayaMawasilianonaTeknolojiaya
Habari, Dkt Zainab Chaula
(watanokushotomstariwambele)akiwakatikapichayapamojanawadauwalioshirikikikao
cha kujadilimkakatiwakukuzanakuendelezamatumiziya TEHAMA
katikavituovyaafyanashule za msinginasekondarinchinikilichofanyikajijini
Dodoma.
Na Faraja Mpina, WMTH
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Dkt. Zainab Chaula amesema kuwa Serikali inatambua na kuthamini mchango wa Sekta binafsi katika kukuza na kuendeleza matumizi ya TEHAMA katika Sekta ya afya na elimu nchini.
Amesema kuwa kutokananamabadilikonamuingilianowateknolojiadunianihudumanyingizimekuwazikitolewakupitia TEHAMA kitukilichopelekeaSerikalikupitiaWizarahiyokuhakikishakuwahudumazinazotolewanakilammojakwawakati wake zinaendasambambana Sera yaTaifaya TEHAMA yamwaka 2016.
Aidha,
Dkt. ChaulaamesemaSerikaliimejenganakusambazaMkongowaTaifawaMawasilianoambaondionjiakuuyaupatikanajiwahudumamawasilianoyasimunaintanetinchiniili
wananchi nataasisizote za umma ziwezekupatahuduma za mawasilianoyauhakikakwagharamanafuu.
NayeMkurugenziwaKiufundiwaMifumokutokakatikaShirikalinalojihusishanakuimarishamifumoyaSektaya
umma(PS3+)
DesderiWengaaamesemakuwaShirikahilolipotayarikushirikiananaWizarahiyokwakutoausaidiziwawataalamuwakiufundipamojanafedhailikuwezeshautekelezajiwaMkakatiwapamojawamatumiziya
TEHAMA katikavituovyaelimunaafyanchini.
Kwa
upandewaMkurugenziwaIdaraya TEHAMA waWizarahiyoMulembwaMunakuamesemakuwalengo
la mkakatihuonikuwekautaratibumahsusiutakaoratibiwanaWizarahiyowaupelekajiwahuduma
za TEHAMA mashuleninakatikavituovyaafyaambaounafanywanawatupamojanatasisimbalimbali
za umma nabinafsi.
Aidha,
MkurugenziwaShule Direct, Faraja Kotta NyalanduamesemakuwawaokamawadauwaelimuwanashukuruSerikalikwakuipakipaumbelesektayaelimunchinikwakuandaamkakatiwakukuzanakuboreshamatumiziya
TEHAMA shuleniiliwanafunzinawalimuwawezekufanyavizurikwamaendeleoyaTaifa.
No comments:
Post a Comment