RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi ambae pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Mhe.Dk.
Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dr,
Abdalla Juma Sadala Mabodi na Naibu Katibu Mkuu wa CCM Bara.Ndg. Rodrick
Mpogoro, alipowasili katika viwanja vya Afisi ya CCM Lumumba kuhudhuria Kikao
cha Kamati Kuu ya Halmashuri Kuu ya CCM Taifa.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi ambae pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa Mhe.Dk. Hussein Ali
Mwinyi akisaini kitabu cha maombolezi ya Hayati Dkt. John Pombe Magufu,
aliyekuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania alipowasili katika Afisi ya
CCM mtaa wa Lumumba kuhudhuria Kikao cha Kamati Kuu ya CCM Taifa leo
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi ambae pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa Mhe.Dk. Hussein Ali
Mwinyi akisaini kitabu cha maombolezi ya Hayati Dkt. John Pombe Magufu,
aliyekuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania alipowasili katika Afisi ya
CCM mtaa wa Lumumba kuhudhuria Kikao cha Kamati Kuu ya CCM Taifa leo
RAIS Mstaaf wa Zanzibar wa Awamu ya Saba ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein akisaini Kitabu cha maombolezi ya Hayati Dkt. John Pombe
Magufuli aliyekuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, alipowasili katika
Afisi ya CCM mtaa wa Lumumba kuhudhuria Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu
ya CCM Taifa.
RAIS Mstaaf wa Zanzibar wa Awamu ya Saba ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein akisaini Kitabu cha maombolezi ya Hayati Dkt. John Pombe Magufuli aliyekuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, alipowasili katika Afisi ya CCM mtaa wa Lumumba kuhudhuria Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa
RAIS Mstaaf wa Tanzania Awamu ya Nne Mhe.Dkt.Jakaya
Mrisho Kikwete akisaini kitabu cha Hayati Dkt. John Pombe Magufuli alipowasili Afisi
ya CCM mtaa wa Lumumba kuhudhuria Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya
CCM Taifa, kilichofanyika leo.20-3-2021
WAZIRI Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania
ambae pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri kuu ya CCM Taifa Mhe. Kassim
Majaliwa, alipowasili katika Afisi ya CCM mtaa wa Lumumba kuhudhuria Kikao cha
Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa kilichofanyika leo
WAZIRI Mkuu Mstaaf wa Tanzania Mhe. Samuel John
Malecela akisaini kitabu cha maombolezi ya Hayati Dkt. John Pombe Magufuli
aliyekuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, alipowasili katika Afisi ya
CCM mtaa wa Lumumba kuhudhuria Kikao cha Kamati Kuu ya CCM Taifa
MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Hemed
Suleiman Abdulla akisaini Kitabu cha maombolezi ya Hayati Dkt. John Pombe
Magufuli aliyekuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, alipowasili katika
Afisi ya CCM mtaa wa Lumumba kuhudhuria Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu
ya CCM Taifa kilichofanyika katika ukumbi wa Afisi ya CCM Lumumba
WAZIRI Mkuu Mstaaf wa Tanzania Mhe. Mizengo
Pinda akisaini Kitabu cha maombelezi ya Hayati Dkt. John Pombe Magufulu
aliyekuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, alipowasili katika Afisi ya
CCM mtaa wa Lumumba kuhudhuria Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM
Taifa kilichofanyika leo.
RAIS Mstaaf wa Zanzibar wa Awamu ya Sita
Mhe.Dkt. Amani Karume akisaini Kitabu cha maombolezi ya Hayati Dkt. John Pombe
Magufuli aliyekuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, alipowasili katika
Afisi ya CCM mtaa wa Lumumba kuhudhuria Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu
ya CCM Taifa.
No comments:
Post a Comment