RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akitembelea Shamba la Kilimo cha Mpira
katika eneo la Selemu, akiwa katika ziara yake kutembelea shamba hilo, na
(kulia kwa Rais) Waziri wa Kilimo,Umwagiliaji,Maliasili na Mifugo
Zanzibar.Mhe.Dkt.Soud Nahoda Hassan na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Kazi Uchumi
na Uwekezaji Zanzibar.Mhe.Mudrik Ramadhan Soraga na (kushoto kwa Rais) Mkuu wa
Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe.Idrisa Mustafa Kitwana na Mkuu wa Wilaya ya
Magharibi “A”Unguja Bi. Suzan Peter Kunambi
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo,
Umwagiliaji,Maliasili na Mifugo Zanzibar. Bi. Maryam Juma Abdalla akitowa
maelezo ya Shamba la Mpira la Selemu, wakati wa ziara yake kutembelea mashamba hayo
ya mpira Selemu na Kichwele.(kushoto kwa Rais) Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi
Unguja Mhe.Mustafa Idrisa Kitwana na Waziri wa Kilimo,Umwagiliaji,Maliasili na
Mifugo.Mhe.Dkt.Soud Nahoda Hassan
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo,
Umwagiliaji,Maliasili na Mifugo Zanzibar. Bi. Maryam Juma Abdalla akitowa
maelezo ya Shamba la Mpira la Selemu, wakati wa ziara yake kutembelea mashamba hayo
ya mpira Selemu na Kichwele.(kushoto kwa Rais) Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi
Unguja Mhe.Mustafa Idrisa Kitwana na Waziri wa Kilimo,Umwagiliaji,Maliasili na
Mifugo.Mhe.Dkt.Soud Nahoda Hassan
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, akipata maelezo ya michoro ya mipaka ya
Shamba la Mpira Selemu, kutoka kwa Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo,Umwagiliaji,Maliasili
na Mifugo.Bi. Maryam Juma Abdalla, alipofanya ziara kutembelea shamba hilo
lilioko katika eneo la Kijiji cha Selemu Wilaya ya Magharibi “A” Unguja, na
(kushoto kwa Rais) Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe.Idrisa Mustafa
Kitwana na Waziri wa Kilimo,Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo Zanzibar. Mhe.Dkt.
Soud Nahoda Hassan
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiangalia ramani ya mipaka ya Shamba la
Mpira la Kichwele wakati wa ziara yake kutembelea shamba hilo, na (kulia kwa
Rais) Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Unguja Mhe.Ayoub Mohammed Mahmoud na (kushoto
kwa Rais) Waziri wa Kilimo,Umwagiliaji,Maliasili na Mifugo
Zanzibar.Mhe.Dkt.Soud Nahoda Hassan na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Bi. Maryam
Juma Abdalla, wakiwa katika eneo kilichokuwa kiwanda cha kukaushia mpira baada
ya kuvuna katika shamba hilo
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Wafanyakazi na Waandishi wa
habari, wakati wa ziara yake kutembelea mashamba ya mpira katika eneo la Selemu
na Kichwele
BAADHI ya Wafanyakazi wa Shamba la Mpira katika
Kijiji cha Kichwele Mkoa wa Kaskazini Unguja wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akizungumza
wakati wa ziara yake kutembelea shamba leo
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akitembelea eneo la Shamba la Mpira katika
Kijiji cha Kichwele Mkoa wa Kaskazini Unguja akiwa katika ziara yake kutembelea
mashamba ya mpira ya Selemu na Kichwele leo
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akitembelea eneo la Shamba la Mpira katika
Kijiji cha Kichwele Mkoa wa Kaskazini Unguja akiwa katika ziara yake kutembelea
mashamba ya mpira ya Selemu na Kichwele leo
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akitembelea Shamba la Kilimo cha Mpira katika Kijiji cha Kichwele Mkoa wa Kaskazini Unguja akitowa agizo kwa Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo,Umwagiliaji,Maliasili na Mifugo Zanzibar Bi. Maryam Juma Abdalla wakati wa ziara yake hiyo na (kulia kwa Rais) Waziri wa Biashara na Maendeleo ya Viwanda Zanzibar.Mhe Omar Said Shaban na Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Unguja Mhe.Ayoub Mohammed Mahmoud.
No comments:
Post a Comment