Habari za Punde

Jumuiya ya PepoHUda Wete yaandaa mafunzo kwa Masheha kuongeza uwajibikaji na ukuaji katika maamuzi ya halmashauri na rasilimali za umma

MASHEHA kutoka shehia 12 zilizomo ndani ya wilaya ya Wete na waratibu wao wa shehia, wakifuatilia kwa makini uzinduzi wa mradi wa kuongeza uwajibikaji na ukuaji katika maamuzi ya halmashauri na rasilimali za umma, unaoendeshwa na Jumuiya ya PEPOHUDA iliyopo Wete Mkoa wa Kaskazini Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

MRATIBU wa Jumiya ya PEPOHUDA Pemba Said Mbarouk Juma, akitoa malezo kwa viongozi mbali mbali juu ya uzinduzi wa mradi wa kuongeza uwajibikaji na ukuaji katika maamuzi ya halmashauri na rasilimali za umma, hafla iliyofanyika Jamhuri Holli Wete.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

MRATIBU wa NGOs Pemba Ashrak akizungumza na masheha na waratib wa shehia kutoka shehia 12 za Wilaya ya Wete huko katika ukumbi wa Jamhuri holi wete, kabla ya uzinduzi wa mradi wa kuongeza uwajibikaji na ukuaji katika maamuzi ya halmashauri na rasilimali za umma, mradi unaoendeshwa na Jumuiya ya PEPOHUDA Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

MRAJIS wa NGOs Zanzibar Ahmed Khalid Abdulla, akizungumza na masheha na waratib wa shehia kabla ya kuzindua mradi wa kuongeza uwajibikaji na ukuaji katika maamuzi ya halmashauri na rasilimali za umma, mradi huo unaendeshwa na Jumuiya ya PEPOHUDA Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.