Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimian na viongozi wa wilaya ya Ruangwa wakati alipowasili kwenye viwanja vya Shule ya Sekondari Hawa Mchopa kukagua ujenzi wa madarasa na maabara, Juni 6, 2021.Kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Zainab Telack.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Zainab Telack (wa tatu kulia) wakikagua ujenzi wa madarasa katika Shule ya Sekondari, Hawa Mchopa wilayani Ruangwa
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na wananchi baada ya kukagua ujezi wa madarasa na maabara katika Shule ya Sekondari Hawa Mchopa wilayani Ruangwa, Juni 6, 2021. Kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Zainab Telack.
Wananchi wa Ruangwa wakimshangilia Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipozungumza baada ya kukagua ujenzi wa madarasa na maabara katika Shule ya Sekondari ya Hawa Mchopa wilayani Ruangwa, Juni 6, 2021. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
No comments:
Post a Comment