Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akivuta utepe kuzindua mradi wa Maji
utakaohudumia Mji wa Misungwi na maeneo ya pembezoni katika hafla iliyofanyika
Misungwi mkoani Mwanza leo tarehe 14 Juni, 2021.
Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akipiga makofi mara baada kuzindua mradi
wa Maji utakaohudumia Mji wa Misungwi na maeneo ya pembezoni
Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akifungulia maji kama ishara ya uzinduzi
wa mradi wa Maji utakaohudumia Mji wa Misungwi na maeneo ya pembezoni.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akiangalia na kuyashika maji mara baada ya kuzindua mradi huo wa Maji utakaohudumia Mji wa Misungwi na maeneo ya pembezoni leo tarehe 14 Juni, 2021.
PICHA NA IKULU
No comments:
Post a Comment