Habari za Punde

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe,.Dkt.Philip Mpango Aweka Jiwe la Msingi Hospitali ya Kanda ya Kusini.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango akiwasili katika eneo la Hospitali ya Kanda ya Kusini iliopo eneo la manispaa ya Mikindani Mkoani Mtwara kwa ajili ya kuweka Jiwe la Msingi Hospitali ya Rufaa Kanda ya Kusini,Mtwara Julai 26,2021.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango akiwasili katika eneo la Hospitali ya Kanda ya Kusini iliopo eneo la manispaa ya Mikindani Mkoani Mtwara kwa ajili ya kuweka Jiwe la Msingi Hospitali ya Rufaa Kanda ya Kusini,Mtwara
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango akipokea maelezo kutoka kwa msanifu majengo Saul Nkimi mara baada ya kuwasili katika Hospitali ya Rufaa Kanda ya Kusini, Mtwara wakati wa kuweka jiwe la msingi katika Hospitali hiyo
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango akiweka jiwe la msingi Hospitali ya Rufaa Kanda ya Kusini iliopo Manispaa ya Mikindani Mkoani Mtwara
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango akiwasili katika eneo la Hospitali ya Kanda ya Kusini iliopo eneo la manispaa ya Mikindani Mkoani Mtwara kwa ajili ya kuweka Jiwe la Msingi Hospitali ya Rufaa Kanda ya Kusini,Mtwara 

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango akizungumza na wananchi waliojitokeza katika hafla ya uwekaji jiwe la msingi Hospitali ya Rufaa Kanda ya Kusini, Mtwara iliopo Manispaa ya Mikindani Mkoani Mtwara.

PICHA – OFISI YA MAKAMU WA RAIS.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.