AFISA Mkuu wa wateja binafsi na Biashara benki ya
NMB Filbert Mponzi, akitoa ufafanuzi wa msaada wa vifaa vya kuezekea baadhi ya
skuli, na vitanda vya hospitali viliyotolewa na benki hiyo kwa mkoa Kusini
Unguja huko Binguni.
AFISA Mkuu wa wateja binafsi na Biashara bank ya NMB
Filbert Mponzi (katikati) akimkabidhi Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja Rashid Hadidi
Rashid,
msaada wa vitanda vya hospitali vilivyotolewa na benki hiyo kwa baadhi ya
hospitali za mkoa Kusini Unguja huko Binguni.
MKUU wa Mkoa wa Kusini Unguja Rashid Hadidi Rashid,
akizungumza na wananchi mbali mbali baada ya kupokea msaada wa vifaa vya
kuezekea kwa baadhi ya skuli, na vitanda vya hospitali viliyotolewa na benki ya
NMB kwa mkoa Kusini Unguja huko Binguni.
MKUU wa Mkoa
wa Kusini Unguja Rashid Hadidi Rashid wakiwa katika picha ya pamoja na
watendaji wa benki ya NMB, na maofisa wa afya, na elimu mkoa wa Kusini Unguja,
baada ya kupokea msaada wa vifaa vya kuezekea kwa baadhi ya skuli, na vitanda
vya hospitali viliyotolewa na benki hiyo kwa mkoa Kusini Unguja huko Binguni.
WATENDAJI wa benki ya NMB, na mkuu wa Mkoa wa Kusini
Unguja ,wakiwa katika picha wa pamoja na
wanafunzi wa skuli ya msingi Binguni baada ya baada benki hiyo kukabidhi msaada
wa vifaa vya kuezekea skuli hiyo huko Binguni.
WATENDAJI wa benki ya NMB, wakiwa katika picha wa pamoja na wanafunzi wa skuli
ya msingi Binguni baada ya benki hiyo kukabidhi msaada wa vifaa vya kuezekea
skuli hiyo huko Binguni.
No comments:
Post a Comment