Habari za Punde

Wadau Kisiwani Pemba Kutoa Maoni Juu ya Sheria ya Kupambana Dawa za Kulevya Zanzibar.

WADAU wa kutoa maoni juu ya sheria ya Kupambana na dawa za Kulevya Zanzibar, wakiwa katika mkutano huo ulioandaliwa na Tume ya Kurekebisha sheria Zanzibar
MKURUGENZI Mtendaji tume ya kitaifa ya kuratibu na udhibiti wa dawa za kulevya Zanzibar Kanali Burhani Zuberi Nasoro, akiwasihi wajumbe kutoka maoni yao ili kuboresha shehia ya kupambana na dawa za kulevya Zanzibar, mkutano uliofanyika mjini chake chake.
MWENYEKITI wa Tume ya kurekebisha sheria Zanzibar Khadija Shamte Mzee, akizungumzia sababu iliyopelekea tume hiyo kukusanya maoni kwa wadau juu ya sheria ya kupambana na dawa za kulevya Zanzibar, mkutano uliofanyika mjini chake chake.
MKUU wa Mkoa wa Kusini Pemba Matar Zahor Massoud, akifungua kikao cha wadau wa kupitia sheria ya kupambana na dawa za kulevya Zanzibar, mkutano uliofanyika mjini Chake Chakena kuwashirikisha wadau kutoka taasisi mbali mbali za serikali na kamati za ulinzi na usalama Pemba.
WATENDAJI kutoka Tume ya tume ya kitaifa ya kuratibu na udhibiti wa dawa za kulevya Pemba, wakifuatilia kwa makini utoaji wa maoni juu ya sheria ya kupambana na dawa za kulevya Zanzibar, mkutano uliofanyika mjini Chake Chake.
KATIBU Tawala Mkoa wa Kaskazini Pemba Khatib Juma Mjaja, akichangia maoni yake katika mkutano wa utoaji wa maoni juu ya sheria ya kupambana na dawa za kulevya Zanzibar, mkutano ulioandaliwa na tume ya kurekebisha sheria Zanzibar na kufanyika mjini Chake Chake.
MKURUGENZI Mtendaji wa Mamlaka ya Maji Zanzibar ZAWA Mhandishi Dkt.Salha Mohamed Kassim(mwenye miwani) akiangalia moja ya chemchem ya kutolea maji katika eneo la Patini Wete.

KATAPILA la Wizara ya Ujenzi Mawasiliano na Usafirishaji Pemba, likiweka sawa barabara ya Wesha kwenda ndagoni hadi Mkumbuu, kama ililivyokutwa na mpiga picha wetu. 

(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA).

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.