WAZIRI wa Habari Vijana Utamaduni na Michezo
Zanzibar Tabia Maulid Mwita, akizungumza na wanamichezo mbali mbali katika
kijiji cha Tumbe, wakati wa ufunguzi bonanza la mashindano ya Baskeli na Resi
za Ngarawa lililofanyika katika fukwe za bandari ya Tumbe.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
BAADHI ya Ngalawa ambazo zimeingia katika mashindano
ya resi hizo, zikisubiri kupigwa kwa
kipenga na kuanza safari ya kutafuta bingwa katika mashindano hayo
yaliyofanyika kijiji cha Tumbe, chini ya Wizara ya Habari Vijana Utamaduni na
Michezo Zanzibar.(PICHA NA ABDI
SULEIMAN, PEMBA)
WAZIRI wa Habari Vijana na Michezo Zanzibar Tabia
Maulid Mwita, akinyanyua ngalawa juu kuashiria uzinduzi wa bonanza la Resi
za Ngarawa na Mbio za Baskeli lililofanyika katika fukwe za bandari ya Tumbe.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
No comments:
Post a Comment