MAAFISA wadhamini kutoka taasisi mbali mbali za
serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, wakifuatilia maadhimisho ya 57 ya Elimu bila
malipo kitaifa mwaka 2021 yamefanyika katika viwanja vya Michezo Gombani Pemba.
KATIBU Mkuu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali
Zanzibar Ndg.Ali Khamis Juma, akizungumza wakati wa maadhimisho ya 57 ya Elimu bila
malipo kitaifa mwaka 2021 yamefanyika katika viwanja vya Michezo Gombani Pemba.
WAZIRI wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe.Simai
Mohamed Said, akizungumza na walimu na wanafunzi wa skuli wa mikao mitano ya
Zanzibar, katika maadhimisho ya 57 ya Elimu bila malipo kitaifa mwaka 2021 yamefanyika
katika viwanja vya Michezo Gombani
MAKAMU wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Othaman Massoud
Othaman akiwahutubia Wanafunzi,Walimu na wananchi wa Mikao mitano ya Zanzibar,
katika maadhimisho ya 57 ya Elimu bila malipo kitaifa mwaka 2021 yamefanyika
katika viwanja vya Michezo Gombani
WANAFUNZI wa Skuli za Msingi na Sekondari kutoka
Mikoa mitano ya Zanzibar, wakifuatilia kwa makini maadhimisho ya 57 ya Elimu
bila malipo kitaifa mwaka 2021 yamefanyika katika viwanja vya Michezo Gombani
Pemba.
No comments:
Post a Comment